mapenzi siku ya kwanza.

mapenzi siku ya kwanza.

huyo alokuwa anatongoza kwenye daladala alikua anategemea nini.......,
na kama mwenzake alikua na ugwadu ya nini kujivunga.....,
huyo aliyekuwa anatongoza kwenye daladala alikuwa anatengeneza mazingira ya siku nyingine!lkn aliyekuwa anatongozwa kashadadia pale pale!!du...
 
we inaonekana ni mfatiliaj mzur wa kina mara krala,saund hadi itiki miez 6 after hapo ni hugs only,yan naenda chuo hadi narudi hajanyolewa mtu afu watu wanapendana kinyama
 
huyo aliyekuwa anatongoza kwenye daladala alikuwa anatengeneza mazingira ya siku nyingine!lkn aliyekuwa anatongozwa kashadadia pale pale!!du...

si angekataa lakini asubiri siku nyingine
au alilazimishwa sanaa
 
kwanini niongee kitu nisichokijua? teh akili kumkichwa......!!!!!

nshawahi kuwa na bf akawa anajifanya hapendi ku do(najua alikuwa anajishaua tu ni muhuni wa kichini chini)
kazi yake kuninunulia maua(sijui mie nyuki), na kadi .....
nikawa napokea tu huku nakula zangu vichwa pembeni, ye namuangalia tu inapita hata miezi sita hajauona.....
ha ha haha....., pole yake! lakin we ulikuwa willing kumpa ishu au alikuona binti wa heshima akawa anaona noumer kukuomba mzigo!
 
Hii ndiyo tunaita "kufanya maamuzi magumu".
Tunakoenda, itafikia hatua, unachumbia asubuhi, jioni mnafunga ndoa, na mkishindana kesho yake mnapeana talaka.
Kesho kutwa anaolewa na mwingine.
ukienda Tanga mjini, usishangae kukuta binti mdogo kaolewa halafu anakuambia "hii ni ndoa yangu ya tatu eti"
 
kuna katabia siku hizi unakutana na demu na siku hiyo upata penzi.je ni kwenda na wakati au urahisi wa dada zetu.coz anayetongoza ni mwanaume.

Tafuta vifungu vya sheria unipostie wapi pameandikwa mwanaume ndiyo anayetongoza mwanamke haruhusiwi. mambo ya kizamani sana, kuchomeshana mahindi, kusubiriana vituo vya dala dala.
 
ha ha haha....., pole yake! lakin we ulikuwa willing kumpa ishu au alikuona binti wa heshima akawa anaona noumer kukuomba mzigo!

nilikuwa willing kwakuwa anajifanya mlokole, acha ambao hawajaokoka wamsaidie........!!!!!!
 
Mshamba wa kei ww ha ha ha ila ndo mlivyo kina ambangile wengi waporipori
Siku ya kwanza nikimvua tule tukamba huwa kama namuacha naanza kucheka kwa furaha mie mtoto wa Ambangile!

Sista du kushika live kalio lake siku ya kwanza kuna raha yake bana
 
Mshamba wa kei ww ha ha ha ila ndo mlivyo kina ambangile wengi waporipori

Bandiko lako limenifanya nicheke kwa nguvu hadi wote abiria kwenye gari la moshi la Mwakyembe wamenigeukia ahahahahahaha!
 
Back
Top Bottom