zimwimtu
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 1,988
- 1,097
aah! huyo alikuwa -----, bora ulimkomesha. siku nyingine nawe uangaliage na watu wa kuwa nao kwenye uhusiano. kama unaona si mtu mnaendana kitabia, tupa kule mapema kabisa.nilikuwa willing kwakuwa anajifanya mlokole, acha ambao hawajaokoka wamsaidie........!!!!!!