mapenzi siku ya kwanza.

mapenzi siku ya kwanza.

nilikuwa willing kwakuwa anajifanya mlokole, acha ambao hawajaokoka wamsaidie........!!!!!!
aah! huyo alikuwa -----, bora ulimkomesha. siku nyingine nawe uangaliage na watu wa kuwa nao kwenye uhusiano. kama unaona si mtu mnaendana kitabia, tupa kule mapema kabisa.
 
"zimwimtu ukaguzi ni mizani ati......we unakaguaje ili nijue kabla ya kukataa au kukubali
ndo mizan hapa, tunaangalia uzito, age, lesen, pia tunapima oil kama ipo safi, then tutakuruhusu kupita katika hili jukwaa.
 
Ila mwisho wa yote tutakutana mbele ya kiti kimoja cha hukumu. Kwa nn tusiishi bila ngono zagao na tukawa na utaratibu unaokubalika mbele ya macho ya wazazi wetu, ndugu na Muumba wako? Take care it is a perishable days.
 
aah! huyo alikuwa -----, bora ulimkomesha. siku nyingine nawe uangaliage na watu wa kuwa nao kwenye uhusiano. kama unaona si mtu mnaendana kitabia, tupa kule mapema kabisa.

naona kama naendana na wewe vile.....!!!!!!!
 
Nafikiri pongezi ziwaendee wanaume, wamekuwa mahiri cku hz katika kutongoza hadi wanaweza kukubaliwa pao hapo
 
Mkuu BAK, asee asante kwa kunipa nyenzo muhimu kwa kipindi hiki tete nachojiandaa na presentation. Kijijini tulikuwa tunakaririshana mistari ya kuflow, bahati mbaya uulizwe swali flow iharibike, inabidi utoe visingizio kibao ili ukajipange upya na presentation yako. vinginevy una-carry. Ndio najifunza vya kimjini mjini,,, Hahaaaaa.

Treasure, honey, sugar Evelyn Salt, your understanding is my motivation. Hahaaaa! LoL!!!
Ni aje banaaa Tized? hahahahah lol! Fungukaaaaa Mkuu 🙂🙂

 
Last edited by a moderator:
mkizungushwa maneno.....mkipewa haraka maneno!!!!!!!!
hivi mnatakaje??????????

ha aha ha aha aaaaaaaaaaaaaaaaaah.............umenichekesha sana wewe mdada!! ila kukubali siku 1 ki ukweli kwa sisi wanaume tunaojitambua hatuwezi kuwa na wewe in future na ukisumbua sana hatuna muda pia wa kukufatilia but unatakiwa usikubali wala kukataa hata ndani ya wiki then ndo unaonyesha kama unaanza kupenda then ndo imakuwa mpango mzima!!!

KUMBUKA USINIKUBALI HARAKA!!
 
ha aha ha aha aaaaaaaaaaaaaaaaaah.............umenichekesha sana wewe mdada!! ila kukubali siku 1 ki ukweli kwa sisi wanaume tunaojitambua hatuwezi kuwa na wewe in future na ukisumbua sana hatuna muda pia wa kukufatilia but unatakiwa usikubali wala kukataa hata ndani ya wiki then ndo unaonyesha kama unaanza kupenda then ndo imakuwa mpango mzima!!!

KUMBUKA USINIKUBALI HARAKA!!

hivi kama nina hamu sina haki ya kumwambia mwanaume anipe?
haki ya kuomba ni ya mwanaume tu?
 
Mkuu BAK, asee asante kwa kunipa nyenzo muhimu kwa kipindi hiki tete nachojiandaa na presentation. Kijijini tulikuwa tunakaririshana mistari ya kuflow, bahati mbaya uulizwe swali flow iharibike, inabidi utoe visingizio kibao ili ukajipange upya na presentation yako. vinginevy una-carry. Ndio najifunza vya kimjini mjini,,, Hahaaaaa.

Treasure, honey, sugar Evelyn Salt, your understanding is my motivation. Hahaaaa! LoL!!!

mi bado nimeinama, nasugua mguu chini na kula kucha nasubiri tamko....!!!!!
 
Evelyn Salt ama kweli wewe ni chumvi na ukiharibika sijui utatiwa nini ili unipe raha kama ya leo. Nimezipendaje post zako. Jf kuna raha sana.
Sio mimi lakini msininukuu vibaya ni rafiki yangu alishawahi fukuzia miaka mitatu na siku tatu na anadai ya siku tatu ilikuwa supper zaidi na ilidumu muda mrefu, isingekuwa maneno ya wazazi wangekuwa wote, ya miaka mitatu walido one time na hawakurudia tena. Hasemi kwanini
 
Ahhh hata usubirie miaka 600 suala ni hilo hilo we ukipata kanafac jichafue nae tu!
 
Hujui mapenzi bado hujawahi pewa penzi ukachanganyikiwa ndo mana chamsingi nikupata unayeshabihiana haijalishi umesota kiasi gani. Hata kama nimekupa kwa haraka hutotamani mwinhgine na usinghethubutu kuuasema haya. Muombe Mungu akupe unayeshabiana, nanaomba akupe huyo unayemwita cheap kama utathubutu tena kutoa maoni kama utoavyo sasa

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
kuna katabia siku hizi unakutana na demu na siku hiyo upata penzi.je ni kwenda na wakati au urahisi wa dada zetu.coz anayetongoza ni mwanaume.
Au wewe unakutana na machangudoa unasema ni hivyo kwa kila mwanamke?
 
maswala ya kupigana kalenda yalitusumbua kwel kipind kile walikuwa wachache,sikuhz wengine mpaka wanajitongozesha chezeiya nyege wewe............
 
Back
Top Bottom