mapenzi siku ya kwanza.

mapenzi siku ya kwanza.

kuna katabia siku hizi unakutana na demu na siku hiyo upata penzi.je ni kwenda na wakati au urahisi wa dada zetu.coz anayetongoza ni mwanaume.

unaomba au unataka kununua? kama ni biashara si lazima ifanyike kwa sababu ziko nyingi?
 
Kwani wewe ulimtongoza in the first place ili iweje?akuzungushe?acha ushamba kijana kaa vipi nenda katongoze kijijini kwenu
 
haya ni makubaliano kati ya anaetongozwa na mtongozaji wewe akisema subiri kama huwezi kusubiri sepa coz wapo wengi sana, ukisema kila anaekuja unakubali utakubali wangapi? ladies take care about guys wengi wao wanapita tu, ukiwa mrahisi wanafunua wanafunika wanasepa, kwani ulikataa inaoza?
 
haya ni makubaliano kati ya anaetongozwa na mtongozaji wewe akisema subiri kama huwezi kusubiri sepa coz wapo wengi sana, ukisema kila anaekuja unakubali utakubali wangapi? Ladies take care about guys wengi wao wanapita tu, ukiwa mrahisi wanafunua wanafunika wanasepa, kwani ulikataa inaoza?

spot on!!!
 
kuna katabia siku hizi unakutana na demu na siku hiyo upata penzi.je ni kwenda na wakati au urahisi wa dada zetu.coz anayetongoza ni mwanaume.


Kizazi cha "Touch screen" hiki mkuu, you just touch or swap mambo yanakwisha! Wewe bado upo analojia?
 
Akikuambia anakuchunguza muulize mama wewe ni takukuru......
kama muda upo hata siku ya kwanza poa tu bana kwani kuna tofauti gani ukipewa leo au ukipewa mwakani?
kukompliketisha tu maisha........

Yaani utafikiri kweli kumbe.....
 
unatakiwa usikubali haraka,2banien hata wiki ivi.Mfano mimi nilitongozwa na Demu mmoja nikambania kama mwezi ivi ndo nikamkubalia sasa ivi mpango mzima.

inaleta tofauti gani ukipewa leo au ukapewa mwakani???
mi pia kidogo nimpe first day bahati mbaya tu nilikuwa naumwa nikachelewa sana nikampa baada ya wiki
na leo ni huz to be........
 
Evelyn Salt unakunywa kinywAji gani???

images


Smirnoff dia......
 
Akikuambia anakuchunguza muulize mama wewe ni takukuru......
kama muda upo hata siku ya kwanza poa tu bana kwani kuna tofauti gani ukipewa leo au ukipewa mwakani?
kukompliketisha tu maisha........
mkuu pokea zawadi,umeifanya jioni na usiku kuwa mzuri kwangu!mwaaa....
 
Hata kuku kukimbia sio kwamba anakataa ni michojo tu.nimeipenda hii.
 
Wanawake hawajui thamani yao ndo maana wanajirahisi hivyo. Pia wanaume walio wengi wako kwa ajili ya kutimiza tamaa zao basi
 
kuna katabia siku hizi unakutana na demu na siku hiyo upata penzi.je ni kwenda na wakati au urahisi wa dada zetu.coz anayetongoza ni mwanaume.

Mambo ya kuzungushana ni mambo ya zaman.
 
hayo ndo madhara ya hesabu nyepesi {1+1=}
hakuna anayekosa
 
Back
Top Bottom