mapenzi siku ya kwanza.

mapenzi siku ya kwanza.

dah! ongelea experience yako, ulisha wahi kumuweka reserve mtu huku ukigegedwa na mwingine?

kwanini niongee kitu nisichokijua? teh akili kumkichwa......!!!!!

nshawahi kuwa na bf akawa anajifanya hapendi ku do(najua alikuwa anajishaua tu ni muhuni wa kichini chini)
kazi yake kuninunulia maua(sijui mie nyuki), na kadi .....
nikawa napokea tu huku nakula zangu vichwa pembeni, ye namuangalia tu inapita hata miezi sita hajauona.....
 
Upewe leo, akupe mwakani,
kama ni wa kudumu, mtadumu.
na kama si wa kudumu hamtadumu.
Tena utasikia ulichokua unaringa nn? Mbn umenipa
 
msipopewa kabisa ndo thread zitamiminika humu kuhusu kunyimwa penzi
ukipewa siku hiyo hiyo shukuru........
ukiambiwa subiri hadi mwezi shukuru pia
aisss!!lkn kwanini majibu yanakuwa tofauti!
subiri hadi mwezi...
subiri hadi nifikilie...
kutoa jibu kuna uhusiano na kuwa huyo mtu ni mala.ya au siyo?!!mmmh sijui kama utanielewa maana nimeandika haraka haraka!
 
aisss!!lkn kwanini majibu yanakuwa tofauti!
subiri hadi mwezi...
subiri hadi nifikilie...
kutoa jibu kuna uhusiano na kuwa huyo mtu ni mala.ya au siyo?!!mmmh sijui kama utanielewa maana nimeandika haraka haraka!

Nimekuelewa Zamaulidi sasa kama mtu na wewe unampenda ya nini kuwa kumzungusha
wakati unajua kua hata mkikaa mwezi the answer will be the same
 
Last edited by a moderator:
sasa ukikubaliwa fasta ndo unajua umependwa ama? mmh wanaume mna kazi sana mara zote mnajua mnatukomesha kumbe tunawatumia mpaka basi
 
hayo mambo ya kufikiria yashapitwa na wakati......
ila sio unapewa unakimbia, otherwise umwambie ukweli kwamba akusuuzie tu kirungu uchape lapa
we ni mpita njia tu.
wewe unaweza kukubali??
 
Siku hizi baadhi ya vijana wengi hawana subira kwa sababu: Mosi hawana upendo ila wana matamanio, pili ugumu wa maisha unawafanya baadhi ya dada zetu kujirahisi. Mnakutana leo na leo leo mnamalizana!

Kwa kifupi hakuna mapenzi ila tamaa tu hapo.

kaka mkubwa umenena... kila mtu anatamaa ya kitu cha mwenzie alichonacho! binti anatamani pesa ya jamaa au goodlife ya muda huo na jamaa anataka kukidhi nye...ge zake tu!
 
Siku hizi hadi Kabang 0713 unapewa siku hiyo hiyo. ulimwengu wa Digitali raha sana siku hizi.
 
Kwani wewe ulimtongoza in the first place ili iweje?akuzungushe?acha ushamba kijana kaa vipi nenda katongoze kijijini kwenu

Siku ya kwanza nikimvua tule tukamba huwa kama namuacha naanza kucheka kwa furaha mie mtoto wa Ambangile!

Sista du kushika live kalio lake siku ya kwanza kuna raha yake bana
 
vipi wale wanaokutana kwenye daladala!kabla ya kushuka wanapita wanachakachua ndo wanaendelea na safari!!!

huyo alokuwa anatongoza kwenye daladala alikua anategemea nini.......,
na kama mwenzake alikua na ugwadu ya nini kujivunga.....,
 
Back
Top Bottom