mapenzi siku ya kwanza.

mapenzi siku ya kwanza.

Ila jua kwamba ukipigwa tarehe na kuvuta muda kama unavyopendelea maanake kuna mwingine anaendelea kujipakulia.
 
It's just weird! Ukutane na mtu leo,mpigishane sound, then muende kuvuana boxers na kyupi siku hiyo hiyo.... basi bora nitafute ----- kabisa nijue niko na mpita njia!
 
kuna katabia siku hizi unakutana na demu na siku hiyo upata penzi.je ni kwenda na wakati au urahisi wa dada zetu.coz anayetongoza ni mwanaume.

nahisi ni kupanda kwa kiwango chako cha kutongoza...ume-improove toka zamani wakati unatongoza unatumia miezi 9 kama mimba leo unatumia siku 1 tuu....ila wenzako toka rais nyerere tulikuwa tunatongoza siku hiyohiyo na kupewa zigo la dhambi tunachuma na kesho tunasepa.

Kama niliyoeleza hapo mwanzo sio kweli...basi ni kutokana na kukuwa kwa ghafla kwa kipato chako na sahivi unanunua "k" kwa bei yoyote ile na inabidi kama ushalipia "bill of lading"...mzigo upatiwe.

Tafakari kisha tupe jibu sahihi.
 
Siku hizi baadhi ya vijana wengi hawana subira kwa sababu: Mosi hawana upendo ila wana matamanio, pili ugumu wa maisha unawafanya baadhi ya dada zetu kujirahisi. Mnakutana leo na leo leo mnamalizana!

Kwa kifupi hakuna mapenzi ila tamaa tu hapo.

Uko sahihi mkuu.
 
kusuuza mtalimbo.No renewal single use.chapa ilale....mjini raha, digital mtindo mmoja.
 
Hapa naona issue ni ratio ya watongozaji na watongozwaji, wewe ukuleta mizinguo watu wanasonga mbele kwani uko peke yako?

Siku hakuna kutongoza bana.. Kama umemtani manz unamwambie real mi nahitaji mzigo.. Hakuna cha kuzunguka sana eti nitongoze leo mzigo nipewe mwakani sio project hiyo..
 
Hiyo mimi naita ni MATURITY(ukomavu)..!!! kama mtu hayupo commited(hafanyi cheating)
 
mkizungushwa maneno.....mkipewa haraka maneno!!!!!!!!
hivi mnatakaje??????????

unatakiwa usikubali haraka,2banien hata wiki ivi.Mfano mimi nilitongozwa na Demu mmoja nikambania kama mwezi ivi ndo nikamkubalia sasa ivi mpango mzima.
 
Back
Top Bottom