cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
Ila tuache utani hz pisi zilizopita chuoni hz tunashhare sana na zenyewe wala hazina shida, ila fifte![]()



Ila tuache utani hz pisi zilizopita chuoni hz tunashhare sana na zenyewe wala hazina shida, ila fifte![]()



Swadaktaaaa!!!Ila vitu vingine ni kujitafutia stress tu, unachunguza kalala na wangapi then??!! kama umeamua kuoa oa tu haibadilishi kitu, cha msingi tu kwenye hao aliolala nao hakuna aliyeondoka nayo hiyo kitu, sisi wazee wa hit & run hata kama amelala na 200 as long as nafasi yangu ya 201 ndio imefikiwa hakuna issue, i play my part i leave the rest
Halafu mahari anakuambia milion 20Poleni sana wakulungwa
Wapo mkuuAcha kujidanganya.
Muulize Gynocologist yeyote atakueleza ukweli.
Hakuna mwanamke anaefika miaka 29 akiwa hamjui mwanaume.
Wapo Wanawake wanamjua Mungu wanaweza kujitunza sana. Ila kuna umri unafika uvumilivu unawashinda.
Nyege ni basic need. Kama tumbo kusikia njaa vile.
Mtu hawezi vumilia njaa muda mrefu. Ndio hivyo hawezi vumilia nyege kuanzia anavunja ungo ana miaka 12 mpaka kufikia 29 bado amekaza tu.
Wanawake wanaojitunza huwa wanamudu wakibahatika kuolewa mapema. Miaka 23 mpaka 25 awe ameshaolewa.. ila bila ya hivo..uvumilivu utamshinda tu
Mtajua wenyewe 😀😀Halafu mahari anakuambia milion 20
Usimjibu huyu wastage of time .Mkuu umeamua kunipinga tu, lakini naamini hoja yangu umeielewa japo unabisha kwa kuleta hoja tofauti....
Wanaume waaminifu hakuna
Kuna mwanamme hapo juu kalalamika wanawake wana body count kubwa. Vigumu kupata mwenye count ndogo wa kuoa.Watakuwa wanasagana na kuingiziana matango.
Tunasumbuliwa na jamii iliyojaa mfumo dume ndio tatizo namba moja hapa, very judgmental society.
Watanzania wanaamini katika miujiza sana, labda itafanyika miujiza watokee wenye body count ndogo ili kila mwanaume ajitwalie.Kuna mwanamme hapo juu kalalamika wanawake wana body count kubwa. Vigumu kupata mwenye count ndogo wa kuoa.
Nikamuukiza, yako wewe ngapi.
Akasema hata hakumbuki inabidi apige hesabu, na akipiga hesabu itakuwa aibu kuiandika.
Nikamwambia unalalamika kwa tatizo ulilolitengeneza mwenyewe?
Kizazi kizima mnashindana kubadilishana wanawake, nani ana score kubwa zaidi.
Halafu hao wanawake wenye body count ndogo watoke dunia gani?
Sasa si kila mtu anajiona yeye special.Watanzania wanaamini katika miujiza sana, labda itafanyika miujiza watokee wenye body count ndogo ili kila mwanaume ajitwalie.
Hawa hawa kwenye uzi wa kimasihara wanaojisifia upuuzi ndio wanataka kupata wanawake wasafi?
Our society is very delusional.
DuhHapana
Upo sahihi Mkuu.Dawa kutafuta mwanamke bikra tu mana ukisema utafute mwanamke ambae hana bikra inakuwa ngumu kujua ametoka na wanaume wangapi
Hapana wanawake hawagawi sana hata yule kicheche kabisa .mchakato wa mwanamke kuvua chup unategemea idadi ya kutongozwa tufanye mzuri sanaaaa zile serious kwa mwezi 20 .toa wasio na hela 10 .Kisha toa 7 wasiojua kutongoza au hawajo serious wanabaki 3 .kwa hiyo mwanamke wa mtu asie fanya kazi baa malaya kabisa tena mnyaturu anapigwa na watu wapya 3 kwa mwezi zidisha 12 unapata 36 toa shoo mbovu.vibamia .mashoga na wazee wa hit and run .mwanamke anabaki na wanaume wanaoweza mla mda wowote 10 tukitoa wasimji moja na wanaooa si muda tangu wale mwanamke malaya kubuhu huwa anakuwa na wanaume watatu tuu wanaomlamba nje ya mme wake .Ni dada zetu na kubwa zaidi ni mama zetu ila hata Mungu alijua bila Akili hatuwawezi.Nina ushahidi kuwa mwanamke anaweza kuwa na Wanaume kumi sehemu Moja na asijue mtu ila mwanaume akiwa na wawili tu ni moto.Na kwasababu tumezaliwa na mwanamke,hatuwezi kubali kuwa wanagawa nje kuliko sisi.Kwa tuliokubali ukweli huu mchungu hatujawahi PATA shida kabisa ya mahusiano.