Mapenzi na Siri zake za ovyo

Mapenzi na Siri zake za ovyo

Ndoa ni kama nchi za dunia .mfano kama yako ni Sweden hutakaa uelewe burundi inaendeshwaje na wanaendel3a sherehekea uhuru kila mwaka
Ni kweli Mkuu, ila haiondoi ukweli kuwa kuchunguzana kunaepusha mengi.

Amani utaipata kwa kumjua mwenzi wako ni mtu wa aina gani FULL STOP.
 
Uzi wowote ukiandikwa ni lazima uwe na main subject.

Mimi Subject yangu kubwa ni kuchunguzana kabla ya kuoana Mkuu, kwahyo kama kuna Mwanamke anataka kuwa namimi ni ruksa kunichunguza na atayajua yanayonihusu ila sio wewe Mkuu.

Kuhusu mahari kubwa pia nadhani umekosea kuniuliza Mkuu, maana ni jambo ambalo nimeliandika kama kujalizia mada tu.

Naweza kukujibu kuwa inshu sio mahari kubwa ila inshu ni Tabia njema ambayo ndio msingi wa huu uzi.


Nadhani umenielewa Mkuu.
Unachosema hapa ni sawa na kumwambia mtu hivi.

"Hii hapa ndoo ya lita ishirini, lita kumi na nane ni maji safi, halafu kuna lita mbili nimejazia mkojo.

Nakupa uyanywe, haya ni maji safi, usijali huo mkojo kwani nimejazia tu, haya ni maji."

Mtu akikupa hayo maji yaliyochanganyika na mkojo utakunywa kwa sababu amekwambia hayo ni maji, mkojo kajazia tu?

Kama mahari kubwa si issue, kwa nini umeitaja?
 
Ni kwa malaya tu, tusisemee wanawake wote, bado wapo wanawake waaminifu kabisa 29yrs bado hamjui mwanaume, wapo kabisa, ni vile tu haujakutana nao, wapo wanawake ambao hata kusimama na mwanaume kwao Ni dhambi achilia kutongozwa, huyo aliyekonfesi kwakwe ndio nomo kulala na wanaume hamsini si kwa wanawake wote
Kitu kinachosababisha mtu kulala na mwanaume mwingine kwanza ni kushindwa kumkuna vzr, sasa ww kidogo ushamwaga kurudia tendo ndio mpaka kesho yake unadhani ni rahisi kukuvumilia, nitakuchekea tuu naenda kwa kidume kingine nikionjeshe nione kama na chenyewe kina ufundi wa kuridhisha
 
Kwa mtindo huo wa maisha ni dhahiri kuwa nchi zenye kufuata sheria za kiislamu ndio wataendelea kufurahia matunda ya ndoa.
Acha kudanganya tena huko ndio wanaiingia sana mlango wa nyuma, unadhani wao wanaponea wapi? Hakuna mtu asiye na matamanio
 
Shida wewe hujiwekei kipimo halafu unategemea hao wengine wa kike wawe na kipimo.

Sasa hao wa kike waliojiwekea vipimo watatoka dunia gani wakati ndio hao hao mnaowapitia bila idadi?

Wewe umedinya wasio idadi ya kukumbuka haraka, mshkaji wako naye hivyo hivyo, vijana kizazi kizima ndiyo style yenu, halafu unategemea kwenye kuoa binti aje na count ndogo hapo? Wakati mshapasiana hata idadi hamkumbuki?

Halafu hapo hapo kumbuka mwanamke ana uwezo wa kufanya tendo mara nyingi zaidi ya wewe, yeye ndiye mwenye ugavi.

Bado unategemea count ndogo tu?

Mtadanganywa sana, hao wengi wakiwaambia hata hamsini wanawadanganya tu.

Tafuta count yako halafu izidishe mara nne ndo utaweza kupata average ya wadada wa mujini wa leo.

Na ukichelewa, kila wiki count inaongezeka.

Tena siku hizi wana mpaka michezo ya kufanya papuchi irudi kama mpya.
Mkuu upo sahihi.

Kuchunguzana ni kwa wote na sio jinsia moja tu!

Mm Mjanja M1 nimezungumzia inshu ya huyo dada tu, ndio maana bandiko langu linaonekana limeegemea upande mmoja.

SUALA LA KUCHUNGUZANA NI KWA JINSIA ZOTE MKUU.
 
Tatizo la vijana wenzangu ni kwamba mnapenda ubishi.

Kama solution ni kumtafuta mtu aliekulia kwenye mazingira ya kwenu, kwanini unaona ngumu kuoa huko kwenu?

Tamaa ndio zinafanya mnajiokotea wanawake barabarani na kuwaoa bila ya kujua Background zao.
Wachache ndio wataelewa yaani mimi mke bila ya kutoka kwetu hapana ,nisikie mwanamke anatoka nje na mkoa wangu na mazingira niliyokulia siwezi kumpenda ng'o.
 
Shida wewe hujiwekei kipimo halafu unategemea hao wengine wa kike wawe na kipimo.

Sasa hao wa kike waliojiwekea vipimo watatoka dunia gani wakati ndio hao hao mnaowapitia bila idadi?

Wewe umedinya wasio idadi ya kukumbuka haraka, mshkaji wako naye hivyo hivyo, vijana kizazi kizima ndiyo style yenu, halafu unategemea kwenye kuoa binti aje na count ndogo hapo? Wakati mshapasiana hata idadi hamkumbuki?

Halafu hapo hapo kumbuka mwanamke ana uwezo wa kufanya tendo mara nyingi zaidi ya wewe, yeye ndiye mwenye ugavi.

Bado unategemea count ndogo tu?

Mtadanganywa sana, hao wengi wakiwaambia hata hamsini wanawadanganya tu.

Tafuta count yako halafu izidishe mara nne ndo utaweza kupata average ya wadada wa mujini wa leo.

Na ukichelewa, kila wiki count inaongezeka.

Tena siku hizi wana mpaka michezo ya kufanya papuchi irudi kama mpya.
Hapa Sasa nimekuelewa vzr!

Kivyovyote iwavyo hamsini kubwa sana, labda ni Ile usiwe na mpenzi ukawa unashiriki ngono na watu tofauti tu, lkn kama ni ile unakua na mpenzi mkiachana unaenda kwa mwngn haiwezi kua kubwa hvo
 
Hapa Sasa nimekuelewa vzr!

Kivyovyote iwavyo hamsini kubwa sana, labda ni Ile usiwe na mpenzi ukawa unashiriki ngono na watu tofauti tu, lkn kama ni ile unakua na mpenzi mkiachana unaenda kwa mwngn haiwezi kua kubwa hvo
Sasa wadada wa mjini wenye mpenzi mmoja dunia ya sasa ni asilimia ngapi?

Wewe unavyojiona kidume kuwachanganya, ndiyo na wao wanavyokuchanganya na vidume wengine.

Wote mnaishia na body count kubwa, halafu unatafuta unicorn ambaye hayupo.
 
Ni kweli Mkuu, ila haiondoi ukweli kuwa kuchunguzana kunaepusha mengi.

Amani utaipata kwa kumjua mwenzi wako ni mtu wa aina gani FULL STOP.
Ndo maana na hawa wamejuana kaka mfano msando huyu wa siasa yaan yy anakula mke analiwa na wanadumu
 
Hiyo statistic ya mwenza alilala na wanaume wangapi sio rahisi kuipata kwa uhakika na kwa kweli haisaidii sana katika mahusiano, sana itakupa stress isiyo ya lazima. Kila uhusiano ni unique na kama mmeridhiana kukaa pamoja endeleeni tu na muwache "pasts" zenu huko huko.
Ndio maana vijana wanakataa kuoa kwasababu ya kuona vitu venye madhara vinapuuziwa na jamii.

Kwa maoni haya, naungana na vijana wanaokataa ndoa.
 
Dawa kutafuta mwanamke bikra tu mana ukisema utafute mwanamke ambae hana bikra inakuwa ngumu kujua ametoka na wanaume wangapi
 
Nakubali huwezi kuoa tu bila kuangalia background ila swala la jamii kubadilika sahau. Sababu zipo nyingi, kwanza siku hizi wadada hawajitunzi tena kisa aje kuolewa, wanajiachia tu sababu wana mifano hai ya dada zao waliojitunza hadi kwenye ndoa bado ndoa zikavunjika pia waliojitunza bado hawajaolewa, na kuna malaya waliokubuhu wanaoelewa ndoa takatifu. In short hakuna formula. Kikubwa enjoy maisha ukipata mnayeendana usichunguze sana anzia hapo mlipo. Hapa sote tunajadili wachumba wa kike, umeshajiuliza wanaoelewa na nani!?,huoni kizazi cha waoaji nacho ni kichefuchefu!?,anayemchunguza mwanamke yeye background yake ikoje!?,...
Upo sahihi Mkuu, lakini Theme nzima ya kuchunguzana ni kuifanya jamii ibadilike na iishi maisha yalio sahihi kimaadili.

Suala la kuchunguzana ni Both Sides na sio Gender moja, kwahyo nina uhakika kuwa tukichunguzana na kuwaacha wenye background mbaya waoane wenyewe tutaepusha maumivu kwa waliojitunza.

Nadhani umenielewa Mkuu.
 
Unachosema hapa ni sawa na kumwambia mtu hivi.

"Hii hapa ndoo ya lita ishirini, lita kumi na nane ni maji safi, halafu kuna lita mbili nimejazia mkojo.

Nakupa uyanywe, haya ni maji safi, usijali huo mkojo kwani nimejazia tu, haya ni maji."

Mtu akikupa hayo maji yaliyochanganyika na mkojo utakunywa kwa sababu amekwambia hayo ni maji, mkojo kajazia tu?

Kama mahari kubwa si issue, kwa nini umeitaja?
Mkuu umeamua kunipinga tu, lakini naamini hoja yangu umeielewa japo unabisha kwa kuleta hoja tofauti....
 
Kitu kinachosababisha mtu kulala na mwanaume mwingine kwanza ni kushindwa kumkuna vzr, sasa ww kidogo ushamwaga kurudia tendo ndio mpaka kesho yake unadhani ni rahisi kukuvumilia, nitakuchekea tuu naenda kwa kidume kingine nikionjeshe nione kama na chenyewe kina ufundi wa kuridhisha
Sasa si ukae na anaekukuna vizuri, kwanini unataka kula kotekote?

Huo ndio umalaya sasa....
 
Acha kudanganya tena huko ndio wanaiingia sana mlango wa nyuma, unadhani wao wanaponea wapi? Hakuna mtu asiye na matamanio
Una uhakika kwa unachosema Mkuu, au ndio stori za vijiweni?

Mm sipo upande wa imani hyo, ila naamini wanakataza kufanya uchafu huo na hata kwenye vitabu vyao vitakatifu wamesema kuhusu kukataza uchafu huo.


Unapoongea kitu kuwa na ushahidi, acha maneno ya vijiweni na mtandaoni.
 
Mkuu umeamua kunipinga tu, lakini naamini hoja yangu umeielewa japo unabisha kwa kuleta hoja tofauti....
Na mimi naweza kusema umeamua kulazimisha tu kuwa nimekuelewa, wakati katika hoja yako umeweka contradiction ambayo mpaka sasa hujaweza kuitatua.

Yani umenipa maji yaliyochanganyika na mkojo ninywe.

Nakwambia maji haya hayafai kunywa, kwa sababu yamechanganyika na mkojo.

Unaniambia mkojo mbona ni asilimia 10 tu, kunywa, hayo ni maji.
 
Back
Top Bottom