Mapenzi na Siri zake za ovyo

Mapenzi na Siri zake za ovyo

Ila vitu vingine ni kujitafutia stress tu, unachunguza kalala na wangapi then??!! kama umeamua kuoa oa tu haibadilishi kitu, cha msingi tu kwenye hao aliolala nao hakuna aliyeondoka nayo hiyo kitu, sisi wazee wa hit & run hata kama amelala na 200 as long as nafasi yangu ya 201 ndio imefikiwa hakuna issue, i play my part i leave the rest
 
Unamchunguzaje mtu ambaye mmekutana chuoni ama kazini ama kanisani ?

Mtu kwao mbeya. Wewe kwenu Mbagala.

Shule kasoma Dodoma wewe umesoma Arusha.

Baba yake mwenyewe ama mama yake hawezi kumjua binti yake katembea na wangapi ama nani na nani. Sembuse wewe mnaekutana ana miaka 25 ndio uanze kumchunguza mtu aliyevunja ungo miaka 13 iliyopita
Kwa jamii ya sasa na maendeleo haswa kukua kwa elimu hili haliepukiki.

Tukirudi nyuma kwa wazazi wetu je mbon ndoa zilidumu sana?

Hawa walikuwa wanaoana watu wa karibu kama jamii moja hususani kabila na ujirani ...Mtoto (mke) anajulikana mpaka makuzi yake na tabia zake
 
Kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na hii anonymous confession ya Mwanamke anaesema kuwa kaolewa akiwa na miaka 20's lakini kashakutana kimwili na wanaume zaidi ya 50.

View attachment 2828437

Huyo bidada anasema kuwa hiyo ni normal kabisa, yani ni kawaida kwa Mwanamke kukutana kimwili na wanaume idadi hiyo au zaidi.

Huyo Mwanamke ameshaweka hiyo siri kwenye maisha yake na Mwanaume hajui, na unaweza kukuta jamaa kagharamika kwelikweli kutoa mahali kubwa n.k kumbe Mwanamke aliemuweka ndani ni Malaya aliekubuhu.

USHAURI
Wanaume tusisahua jukumu letu la kuchunguza wenza wetu kabla ya ndoa, maana matatizo mengi yanatokea kwenye ndoa kwasababu ya kupuuzia KUCHUNGUZANA.
Halafu eti anakuka mti anakuambia oa ndio molango ya baraka itafunvuka..Milango ya baraka itagunguka wakati umeoa jitu limebeba ma nuksi na mapepo ya wanaume kibao...
 
Kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na hii anonymous confession ya Mwanamke anaesema kuwa kaolewa akiwa na miaka 20's lakini kashakutana kimwili na wanaume zaidi ya 50.

View attachment 2828437

Huyo bidada anasema kuwa hiyo ni normal kabisa, yani ni kawaida kwa Mwanamke kukutana kimwili na wanaume idadi hiyo au zaidi.

Huyo Mwanamke ameshaweka hiyo siri kwenye maisha yake na Mwanaume hajui, na unaweza kukuta jamaa kagharamika kwelikweli kutoa mahali kubwa n.k kumbe Mwanamke aliemuweka ndani ni Malaya aliekubuhu.

USHAURI
Wanaume tusisahua jukumu letu la kuchunguza wenza wetu kabla ya ndoa, maana matatizo mengi yanatokea kwenye ndoa kwasababu ya kupuuzia KUCHUNGUZANA.
Kwa hivyo wewe tatizo lako mahari, ukiondolewa mahari utakuwa poa na hiyo "body count"?

Wewe body count yako ni ngapi?
 
Ni kwa malaya tu, tusisemee wanawake wote, bado wapo wanawake waaminifu kabisa 29yrs bado hamjui mwanaume, wapo kabisa, ni vile tu haujakutana nao, wapo wanawake ambao hata kusimama na mwanaume kwao Ni dhambi achilia kutongozwa, huyo aliyekonfesi kwakwe ndio nomo kulala na wanaume hamsini si kwa wanawake wote
Kabisa Mkuu, ndio maana nimemalizia kwa kutoa ushauri "Vijana wachunguzane tabia kabla ya kuoana"
 
Pia wapo wanawake waaminifu sana wenye hofu ya Mungu tunachoweka akilini ndicho kinachokukuta, mfano ukiwaz ipo siku utakutana na mwanamke mwaminifu basi itakua, ila ukiweka mawazo ya kuwa sitakuja kukutana na mwanamke mwamininfu itakua hivyo maishani mwako na utafurahi mahusiano, so mjaribu kuwaza mitazamo chanya
Unapowaza upambane pia kumchunguza na kuchagua mwenza mwema.
 
Na kasemea kabisa lakini kuwa mume wake hajui historia yake kuwa ameshalala na wanaume zaidi ya 50 kwahiyo hiyo ilikua kabla hajaingia kwenye ndoa na commitments, siajabu yupo kwenye ndoa na ametulia na ndiyo maana katoa confess ya namna hiyo, i still believe wapo wanawake wa kuoa na ni waaminifu
Uaminifu huendana na tabia za nyuma.

Wazee wetu walikuwa sio wajinga kuchunguza koo/familia za kuoa. Unapochunguza unajihakikishia kuwa upo salama japo sio asilimia zote lakini inasaidia kujenga amani.
 
Mm niliwahi kuwa out na jamaa angu wako na mkewe .walikuwa wanasimuliana stor hizo kwa uwazi mke wa jamaa alisema nikisikia kuwa ashapita na watu si chini ya 50 toka chuo hadi kukutana na jamaa .namshkaj alikuwa anawajua kama wa 5 hivi.na wana watoto 3 and very happy catholic couple
 
Mkuu naona unahangaika kutetea wanawake, oa at your own risk. Ila kusema sijui wapo waaminifu sijui sio wote unajidanganya. Kwenye huu ulimwengu wa smartphone na bodaboda vitoto vinaanza ngono vipo darasa la 5, vikija kufika form 4 vimekubuhu, akifikisha miaka 20 kashalala na watu wazima wa over 40 au 50. Huko makanisani kwenye kwaya ndo balaa. Kuna demu ni mpole muimba kwaya na mvaa vitenge, nilikuwa namuona mtu aliyetulia, siku moja akaniambia alipojua mapenzi akiwa sekondari alikuwa anapenda ngono sana mtu akimtongoza anamlala hata siku hiyohiyo na kashalala na wanaume kama 70 hivi, ila siku hizi kaamua kutulia, nikachoka. Uzuri hakunaga alama kwa aliyelala na wawili na aliyelala na kijiji. Na siku hizi Wana dawa zao mpaka za kurudisha bikra amini usiamini, ndo maana nikakwambia Oa at your own risk.
Upo sahihi, lakini kuchunguzana ni jambo muhimu sana kabla ya kuoana.

Watu wakiwa wana utaratibu wa kuchunguzana na kuwaacha wenye background mbaya, basi jamii itabadilika kitabia.
 
Back
Top Bottom