Mjanja M1
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 4,197
- 14,890
- Thread starter
- #41
Ni uamuzi wako Mkuu.Unamchunguzaje mtu ambaye mmekutana chuoni ama kazini ama kanisani ?
Mtu kwao mbeya. Wewe kwenu Mbagala.
Shule kasoma Dodoma wewe umesoma Arusha.
Baba yake mwenyewe ama mama yake hawezi kumjua binti yake katembea na wangapi ama nani na nani. Sembuse wewe mnaekutana ana miaka 25 ndio uanze kumchunguza mtu aliyevunja ungo miaka 13 iliyopita
Kama unaona kuchunguza ni Ujinga basi acha, na fanya unachoona ni sahihi kwako.
Sisi wanaume tunaojielewa tumeshatoa ushauri, kwahyo It's up to you Mkuu.