Mapenzi na Siri zake za ovyo

Mapenzi na Siri zake za ovyo

Mm niliwahi kuwa out na jamaa angu wako na mkewe .walikuwa wanasimuliana stor hizo kwa uwazi mke wa jamaa alisema nikisikia kuwa ashapita na watu si chini ya 50 toka chuo hadi kukutana na jamaa .namshkaj alikuwa anawajua kama wa 5 hivi.na wana watoto 3 and very happy catholic couple
Very Happy what? Kamdhalilisha Mwanaume wake.

Wanaume wenye akili wanaoa kwa kuangalia past ya mwanamke na sio vyenginevyo. Jamaa yako kama kaoa hilo kulumbembe basi kajibebesha mabomu ambayo anytime yanalipuka
 
Kwahyo umeona ni hilo tu Mkuu?

HAYA BHANA, ILA NAAMINI UKITULIZA AKILI UTAELEWA NI NINI NIMEKIANDIKA HAPO.
Kwani hujalisema?

Unasema kitu, halafu ukubanwa utetezi wako ni "kwa hiyo umeona hilo tu mkuu?", kama hujasema vile!
 
Very Happy what? Kamdhalilisha Mwanaume wake.

Wanaume wenye akili wanaoa kwa kuangalia past ya mwanamke na sio vyenginevyo. Jamaa yako kama kaoa hilo kulumbembe basi kajibebesha mabomu ambayo anytime yanalipuka
Ndoa ni kama nchi za dunia .mfano kama yako ni Sweden hutakaa uelewe burundi inaendeshwaje na wanaendel3a sherehekea uhuru kila mwaka
 
Huyo Dada ameweka wazi ila tukirudi kwenye jamii zetu MTU kavunja ungo miak12 halafu ana miaka 32 bado hajaolewa unakuta kashagonoka hata na wanaume 40.
Kwenye Jamii iliyoharibika hilo ni jambo la kawaida, ila kwenye jamii iliyostaarabika hilo ni jambo gumu kutokea.

Uzinzi unachangiwa na jamii iliyokuzunguka Mkuu, kama upo sehemu yenye maadili huwezi kuwa mtu mbaya maana nature itakukataa.


KAMA UNATAKA KUWA MWEMA BASI KAA NA WEMA, KAMA UNATAKA KUWA MBAYA BASI KAA NA WASHENZI
 
Mim simtetei uyo dada wala kuwa ongelea wanawake wangine lkn uyo ni Malaya Ona anajua Hadi threesome sasa hio ni yeye lkn mm i am telling you nime wahi anza mahusiano na dada mmoja ni mzuri asilia She alikua na 24yrs na alikua hajawah kabsa
kwaio wanawake hawapo sawa ila uki zoea kudate na kusikia habari za hao walioshindwa kuwa na mahusiano huwez muamin dem maaana kila unaye muona unahis ana kiumalaya hio inafanya vvijana mushindw hata kutongoza sikuiz
Upo sahihi Mkuu.
 
Shida hapo n nn
Shida wewe hujiwekei kipimo halafu unategemea hao wengine wa kike wawe na kipimo.

Sasa hao wa kike waliojiwekea vipimo watatoka dunia gani wakati ndio hao hao mnaowapitia bila idadi?

Wewe umedinya wasio idadi ya kukumbuka haraka, mshkaji wako naye hivyo hivyo, vijana kizazi kizima ndiyo style yenu, halafu unategemea kwenye kuoa binti aje na count ndogo hapo? Wakati mshapasiana hata idadi hamkumbuki?

Halafu hapo hapo kumbuka mwanamke ana uwezo wa kufanya tendo mara nyingi zaidi ya wewe, yeye ndiye mwenye ugavi.

Bado unategemea count ndogo tu?

Mtadanganywa sana, hao wengi wakiwaambia hata hamsini wanawadanganya tu.

Tafuta count yako halafu izidishe mara nne ndo utaweza kupata average ya wadada wa mujini wa leo.

Na ukichelewa, kila wiki count inaongezeka.

Tena siku hizi wana mpaka michezo ya kufanya papuchi irudi kama mpya.
 
Hiyo statistic ya mwenza alilala na wanaume wangapi sio rahisi kuipata kwa uhakika na kwa kweli haisaidii sana katika mahusiano, sana itakupa stress isiyo ya lazima. Kila uhusiano ni unique na kama mmeridhiana kukaa pamoja endeleeni tu na muwache "pasts" zenu huko huko.
 
Wanafurahia vipi wakati upande mmoja wanalazimishwa kuishi kitumwa kwenye ndoa..
Sijui kiundani (Uislamu), ila nimesoma mahali kuwa sheria zao zinatunza jamii iwe bora.


Adhabu wanazotoa kwa Wazinzi na wanaotoka kwenye ndoa zimefanya wawe na staha na maadili mema.


Nimesoma mahali kuwa Uislamu unamthamini Mwanamke sana (UTUMWA HAKUNA KWA MKE).

USIAMINI UNAVYOONA KWENYE VYOMBO VYA HABARI MKUU.

NB. Mimi sipo kiimani na wala sijui kiundani huo uislamu, ila nimesoma na nimeona wanavyoishi
 
Acha kujidanganya.

Muulize Gynocologist yeyote atakueleza ukweli.

Hakuna mwanamke anaefika miaka 29 akiwa hamjui mwanaume.

Wapo Wanawake wanamjua Mungu wanaweza kujitunza sana. Ila kuna umri unafika uvumilivu unawashinda.

Nyege ni basic need. Kama tumbo kusikia njaa vile.

Mtu hawezi vumilia njaa muda mrefu. Ndio hivyo hawezi vumilia nyege kuanzia anavunja ungo ana miaka 12 mpaka kufikia 29 bado amekaza tu.

Wanawake wanaojitunza huwa wanamudu wakibahatika kuolewa mapema. Miaka 23 mpaka 25 awe ameshaolewa.. ila bila ya hivo..uvumilivu utamshinda tu
Sawasawa 👍
 
Upo sahihi, lakini kuchunguzana ni jambo muhimu sana kabla ya kuoana.

Watu wakiwa wana utaratibu wa kuchunguzana na kuwaacha wenye background mbaya, basi jamii itabadilika kitabia.
Nakubali huwezi kuoa tu bila kuangalia background ila swala la jamii kubadilika sahau. Sababu zipo nyingi, kwanza siku hizi wadada hawajitunzi tena kisa aje kuolewa, wanajiachia tu sababu wana mifano hai ya dada zao waliojitunza hadi kwenye ndoa bado ndoa zikavunjika pia waliojitunza bado hawajaolewa, na kuna malaya waliokubuhu wanaoelewa ndoa takatifu. In short hakuna formula. Kikubwa enjoy maisha ukipata mnayeendana usichunguze sana anzia hapo mlipo. Hapa sote tunajadili wachumba wa kike, umeshajiuliza wanaoelewa na nani!?,huoni kizazi cha waoaji nacho ni kichefuchefu!?,anayemchunguza mwanamke yeye background yake ikoje!?,...
 
Hajui wanaongoza kwa talaka duniani
Talaka ni jambo la kawaida Mkuu, mtu anapokosea na ukaona huwezi kwenda nae mbali kwenye ndoa ni sahihi kumpa Divorce.


Naamini hao Waislamu hawakuweka talaka kama jambo la mzaha.

Wakristo na wenyewe wanatoa Divorce pia ni suala la kawaida especially unapogundua mwenza wako sio mtu sahihi kwenye maisha yako.
 
Siku ukiona nimefungua uzi kwenye mtandao wa JF au mwingine wowote ule kisa mwanamke, naomba unitukane mkuu.
Hahaha unaweza usifungue uzi, lakini behind the scene ukawa unaugulia Maamivu.
 
Hiyo statistic ya mwenza alilala na wanaume wangapi sio rahisi kuipata kwa uhakika na kwa kweli haisaidii sana katika mahusiano, sana itakupa stress isiyo ya lazima. Kila uhusiano ni unique na kama mmeridhiana kukaa pamoja endeleeni tu na muwache "pasts" zenu huko huko.
Tatizo wanalitengeneza wenyewe kwa kujiona vidume marijali, halafu wanalilalamikia.
 
Wanawake wengi wanaanza kulala na mwanaume kuanzia miaka 16. Hivo tukitoa 26 ya wakati wa kuolewa tunapata miaka 10.

Sasa basi ukichukua 56/10 unapata 5.6 hivyo kila mwaka alikua analala na wastani wa wanaume 5.6

Hii si kawaida ni umalaya tu.
 
Nakubali huwezi kuoa tu bila kuangalia background ila swala la jamii kubadilika sahau. Sababu zipo nyingi, kwanza siku hizi wadada hawajitunzi tena kisa aje kuolewa, wanajiachia tu sababu wana mifano hai ya dada zao waliojitunza hadi kwenye ndoa bado ndoa zikavunjika pia waliojitunza bado hawajaolewa, na kuna malaya waliokubuhu wanaoelewa ndoa takatifu. In short hakuna formula. Kikubwa enjoy maisha ukipata mnayeendana usichunguze sana anzia hapo mlipo. Hapa sote tunajadili wachumba wa kike, umeshajiuliza wanaoelewa na nani!?,huoni kizazi cha waoaji nacho ni kichefuchefu!?,anayemchunguza mwanamke yeye background yake ikoje!?,...
Mkuu sema na wewe.

Mimi nimemuuliza mwanaume mmoja wa mfano hapa, count yake, kaona haya kujibu.

Na yeye eti anategemea apate mke mwenye count ndogo.
 
Kwani hujalisema?

Unasema kitu, halafu ukubanwa utetezi wako ni "kwa hiyo umeona hilo tu mkuu?", kama hujasema vile!
Uzi wowote ukiandikwa ni lazima uwe na main subject.

Mimi Subject yangu kubwa ni kuchunguzana kabla ya kuoana Mkuu, kwahyo kama kuna Mwanamke anataka kuwa namimi ni ruksa kunichunguza na atayajua yanayonihusu ila sio wewe Mkuu.

Kuhusu mahari kubwa pia nadhani umekosea kuniuliza Mkuu, maana ni jambo ambalo nimeliandika kama kujalizia mada tu.

Naweza kukujibu kuwa inshu sio mahari kubwa ila inshu ni Tabia njema ambayo ndio msingi wa huu uzi.


Nadhani umenielewa Mkuu.
 
Kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na hii anonymous confession ya Mwanamke anaesema kuwa kaolewa akiwa na miaka 20's lakini kashakutana kimwili na wanaume zaidi ya 50.

View attachment 2828437

Huyo bidada anasema kuwa hiyo ni normal kabisa, yani ni kawaida kwa Mwanamke kukutana kimwili na wanaume idadi hiyo au zaidi.

Huyo Mwanamke ameshaweka hiyo siri kwenye maisha yake na Mwanaume hajui, na unaweza kukuta jamaa kagharamika kwelikweli kutoa mahali kubwa n.k kumbe Mwanamke aliemuweka ndani ni Malaya aliekubuhu.

USHAURI
Wanaume tusisahua jukumu letu la kuchunguza wenza wetu kabla ya ndoa, maana matatizo mengi yanatokea kwenye ndoa kwasababu ya kupuuzia KUCHUNGUZANA.
Sasa nachunguz huyo anaegongwa ataolewa na nani? Acha ushamba hata uliyenae bikra hujamtoa wewe? Mwanamke ambae alishatolewa bikra na mtu mwingine jua kwamba yuko kwako kimaslahi, nani anataka shidaaa, wewe umetembea na watu wa ngapi? Kama ndio hivyo kila mtu amfuatilie mwenzake
 
Back
Top Bottom