Abunwasi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,486
- 3,468
Matatizo ya aina yapo mengi sana katika jamii yetu na hasa baada ya kina mama kuendelea kielimu/taaluma/kipato. Lakini kwa maoni yangu siwezi kuwalaumu kina mama kwani ninahisi chimbuko kubwa la matatizo ya ndoa zetu ni namna tulivyoanza.
Jee kabla ya kuoana kila mmoja alikuwa anamuelewa mwenzake kihivyo au ilikuwa infatuation ikafikia mahala wote mkahisi mko kwenye dimbwi la mapenzi na kuamua kuoana[ wakati mnaamua hivyo kila mmoja wenu ana sababu zake za kutaka hiyo ndoa na hizo sababu ni tofauti sana kiasi hata baada ya muda haziondoki ila zinajificha moyoni. Kasheshe inakuja wakati kunakuwepo na mafanikio ya kimaisha kwa mmoja wa wanandoa na kuanza kufikiri kuwa mafanikio hayo ni yake binafsi ndipo vituko huanza [hata wanaume] na mwisho wa yote ni kutengana na kuwaachia mtihani mgumu watoto.
Jee kabla ya kuoana kila mmoja alikuwa anamuelewa mwenzake kihivyo au ilikuwa infatuation ikafikia mahala wote mkahisi mko kwenye dimbwi la mapenzi na kuamua kuoana[ wakati mnaamua hivyo kila mmoja wenu ana sababu zake za kutaka hiyo ndoa na hizo sababu ni tofauti sana kiasi hata baada ya muda haziondoki ila zinajificha moyoni. Kasheshe inakuja wakati kunakuwepo na mafanikio ya kimaisha kwa mmoja wa wanandoa na kuanza kufikiri kuwa mafanikio hayo ni yake binafsi ndipo vituko huanza [hata wanaume] na mwisho wa yote ni kutengana na kuwaachia mtihani mgumu watoto.