agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,414
Bora ulovyoaachwa
Nafundisha shule anayosoma dada yako.Mi namfundisha shule anayosoma dadaako tena namfundishia kitandani
Ma CO wa siku hizi ni shida.Kwataarifa yako mi sio teacher nilinogesha tu story mi ni CO, kwahyo CO na muandiko wapi na wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Next time jifunze kuandika kisha ndio utafute mpenzi mwengine
Siwez kuficha inauma mkuu japo sio kiviile ila kuuma inauma.
Now nmekuw mzee wa hit n run