Grau
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 4,828
- 4,736
Nafikiri nilikuja na maada hapa kuwa yule mwanamke niliyehitaji kumtambulisha home ambapo mama yake aligoma mpaka nimlipie mahali kumbe sijui walikuwa wanalisuka na mama yake wale pesa yangu?
Mwisho wa siku huyo mchumba alianza kudeka deka mara naumwa mara nina mimba yako ili tu nitume pesa! Duh nikashtukia mchezo nikamwambia kuanzia leo situmi pesa, ila kuna siku akanambia nimtumie mtonyo aje huku' kwa jinsi nilivyo muhitaji nikatuma akaanza visingizio mara mama kachukua mara gari limemuacha.
Siku moja ilibidi anifunulie kuwa ana mpenzi wake kwa sasa ambae wanapendana so nimuache, kiukweli huwa silazimishi love nilimuacha japo iliuma, kwa sasa nimeamua kuwa single.
I will never trust woman even in marriage [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Mwisho wa siku huyo mchumba alianza kudeka deka mara naumwa mara nina mimba yako ili tu nitume pesa! Duh nikashtukia mchezo nikamwambia kuanzia leo situmi pesa, ila kuna siku akanambia nimtumie mtonyo aje huku' kwa jinsi nilivyo muhitaji nikatuma akaanza visingizio mara mama kachukua mara gari limemuacha.
Siku moja ilibidi anifunulie kuwa ana mpenzi wake kwa sasa ambae wanapendana so nimuache, kiukweli huwa silazimishi love nilimuacha japo iliuma, kwa sasa nimeamua kuwa single.
I will never trust woman even in marriage [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]