smigo4u
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,408
- 2,844
Dah! Kama ni hivyo uache tu mkuu!
Yaan mzigo nmeula mpak nkataka ukimbia
Yaan mzigo nmeula mpak nkataka ukimbia
Hapo kwenye easy ulimaanisha essay?Hahaaaa kwan hujaelew nn? Au ultak niandke step by step? Au ni easy?
Next time jifunze kuandika kisha ndio utafute mpenzi mwengine
Ah huyo msista mbona hajakufanyia vitimbi asee umekata tamaa na wanawake hivyo. Kuna wanawake wamekubuhu huyo chamtoto tu hajakusumbua endelea kuwaaminiNafkr nlkuj na maada hapa kuw yule mwanamke nlye hitaj kumtambulisha home ambapo mamaake aligoma mpaka nimlipie maali kumbe cjui walkuw wanalisuka na mamaake wale pesa yang? Mwisho wasiku huyo mchumba alianza kudeka deka mara naumwa mara nnamimba yako ili tu nitume pesa! Duh nkashtukia mchezo nkamwambia kuanzia leo situmi pesa, ila kunasiku akanambia nmtumie mtonyo aje huku' kwajinc nlvyo mhtaj nkatuma akaanz vcngzio mara mama kachukua mara gar limemuacha.
Siku moja ilibd anifunulie kuw anampenz wake kwa sasa ambae wanapendana so nimuache, kiukwel huwa clazimish love nilimuacha wadau japo iliuma japo kwa sasa nmeamua kuwa single.
I will never trust woman even in marriage [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Asante
Mkuu sijaandka maneno mengi yaan hayo alyo nifanyia nimefupisha mkuu yaan alnitumia had sms za kunikashfu na mambo kibaoAh huyo msista mbona hajakufanyia vitimbi asee umekata tamaa na wanawake hivyo. Kuna wanawake wamekubuhu huyo chamtoto tu hajakusumbua endelea kuwaamini
kwa uandishi huu inaonekana bado inakuuma braza, calm down.nilimuacha wadau japo iliuma japo kwa sasa nmeamua kuwa single.