Mapenzi haya sitamuamini mwanamke hata siku moja

Mapenzi haya sitamuamini mwanamke hata siku moja

Hizi mada mbona zinakuwa nyingi sana humu hadi zinaniletea kiungulia
Wanaogopa mizinga ya sikukuu, wanaanza kujiweka pembeni mapema ili zile meseji za "baby Eid tutaenda wapi halafu nguo sina jomoniii[emoji17]"

Ngoja sikukuu zipite utaona nyuzi za kusifiana zikitrend.
 
Wanaogopa mizinga ya sikukuu, wanaanza kujiweka pembeni mapema ili zile meseji za "baby Eid tutaenda wapi halafu nguo sina jomoniii[emoji17]"

Ngoja sikukuu zipite utaona nyuzi za kusifiana zikitrend.
[emoji23][emoji23]
 
Heee! Mkuu,jambo nimelinotice uko inexperienced when it comes to women, mkuu wenzio wana date kwanza kwa muda na girls kabla ya ku ‘settle down ‘’ sio umekutana na mwanamke njiani kesho unampeleka kwa wazazi, ndio maana huyo dada kakuona wakuja lol
 
Heee! Mkuu,jambo nimelinotice uko inexperienced when it comes to women, mkuu wenzio wana date kwanza kwa muda na girls kabla ya ku ‘settle down ‘’ sio umekutana na mwanamke njiani kesho unampeleka kwa wazazi, ndio maana huyo dada kakuona wakuja lol
Tulichukua mda mno ndo tukapelekana sio kwamba tumekutana papo kwa papo.
 
Wanaogopa mizinga ya sikukuu, wanaanza kujiweka pembeni mapema ili zile meseji za "baby Eid tutaenda wapi halafu nguo sina jomoniii[emoji17]"

Ngoja sikukuu zipite utaona nyuzi za kusifiana zikitrend.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe tudanganye mkuu lol
Hapana ndo hvyo sikukulupuka dada lakn huo uz nilifupisha tu kwan nilkuw naingia job in short mi nilikuw napga kaz mjini na nilkuw nae baada ya hapo tukawa tunaendelea ku date baadae nkahamishiwa kijijin, baada ya miez kama minne hv ndo nkaenda kujitambulisha na kwetu wakahitaji aende, sema hyo thread hukuielewa coz niliiandka wakat naingia job.
 
mimi mpaka leo sina mahusiano rasmi na naingia 27yrs ivyo, sijui ata nianzie wapi kua na ayo mahusiano rasmi maana siamini mwanamke yoyote kwenye mahusiano
 
Mzee baba wazungu wanasema never loose hope sijui nimepatia kizungu, tuachane na ayo piga moyo konde mwisho wa safari moja ndio mwanzo wa safari nyingine tafuta mwingine naamini utasahau yote mda si mrefu
 
siyo mwanamke tu yaani kiufupi usiweke imani kubwa kwa binadamu yeyote yule hata kama akawa mzazi wako au mwanao sababu leo hii watoto uua wazazi sababu ya mali na wazazi vile vile uua watoto wao sababu ya kupata mali..."kama hakuna binadamu mkamilifu kwanini umwamini binadamu kwa 100%"
 
mimi mpaka leo sina mahusiano rasmi na naingia 27yrs ivyo, sijui ata nianzie wapi kua na ayo mahusiano rasmi maana siamini mwanamke yoyote kwenye mahusiano
Itabidi na mm nikuige mkuu nmepoteza hope kabisaa.
 
siyo mwanamke tu yaani kiufupi usiweke imani kubwa kwa binadamu yeyote yule hata kama akawa mzazi wako au mwanao sababu leo hii watoto uua wazazi sababu ya mali na wazazi vile vile uua watoto wao sababu ya kupata mali..."kama hakuna binadamu mkamilifu kwanini umwamini binadamu kwa 100%"
Nikwel mkuu
 
Itabidi na mm nikuige mkuu nmepoteza hope kabisaa.
kuna wakati unafika inabidi uache kulialia, binafsi kwenye hatua za uchumba izi sinaga moyo wa kulia lia, ukijichanganya sina time nawewe
 
Back
Top Bottom