Pole sanaNafkr nlkuj na maada hapa kuw yule mwanamke nlye hitaj kumtambulisha home ambapo mamaake aligoma mpaka nimlipie maali kumbe cjui walkuw wanalisuka na mamaake wale pesa yang? Mwisho wasiku huyo mchumba alianza kudeka deka mara naumwa mara nnamimba yako ili tu nitume pesa! Duh nkashtukia mchezo nkamwambia kuanzia leo situmi pesa, ila kunasiku akanambia nmtumie mtonyo aje huku' kwajinc nlvyo mhtaj nkatuma akaanz vcngzio mara mama kachukua mara gar limemuacha.
Siku moja ilibd anifunulie kuw anampenz wake kwa sasa ambae wanapendana so nimuache, kiukwel huwa clazimish love nilimuacha wadau japo iliuma japo kwa sasa nmeamua kuwa single.
I will never trust woman even in marriage [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Bado utaandika nyuzi nyingi kama riwaya za shigongo!Nafkr nlkuj na maada hapa kuw yule mwanamke nlye hitaj kumtambulisha home ambapo mamaake aligoma mpaka nimlipie maali kumbe cjui walkuw wanalisuka na mamaake wale pesa yang? Mwisho wasiku huyo mchumba alianza kudeka deka mara naumwa mara nnamimba yako ili tu nitume pesa! Duh nkashtukia mchezo nkamwambia kuanzia leo situmi pesa, ila kunasiku akanambia nmtumie mtonyo aje huku' kwajinc nlvyo mhtaj nkatuma akaanz vcngzio mara mama kachukua mara gar limemuacha.
Siku moja ilibd anifunulie kuw anampenz wake kwa sasa ambae wanapendana so nimuache, kiukwel huwa clazimish love nilimuacha wadau japo iliuma japo kwa sasa nmeamua kuwa single.
I will never trust woman even in marriage [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Mmmmmmmmh!!!!Cheka tuu,.ila sisi ni viumbe watam na wazuri kupita "vito vya thamani" ukiwa na utulivu na "akili"...ukikurupuka hakika utaonja shubiri..
Habari ndiyo hiyoooo....!!!!Mmmmmmmmh!!!!
Kweli mkuu nyie ni viumbe bora sana..Habari ndiyo hiyoooo....!!!!
Naam,.😊Kweli mkuu nyie ni viumbe bora sana..
Kabisaaa!!Naam,.[emoji4]
Huenda na ww n msukuma c bure
😂😂😂😂😂😂Kwa hyo mkuu unashauri kuwe na jukwaa la wasukuma?Ramba majivu ila baada ya kufuturu, lakin cku hizi hili jukwaa limevamiwa sana.
Sasa kama Wasukuma nao wanajadili na kushauri masuala ya mapenzi hamuon hlo ni tatzo?
And likewise dia,.never trust a wrong man.