Mapenz ya whatsapp..

Mapenz ya whatsapp..

mbna kawaida mkuu,,wolper alihongwa BMW na jamaa hakula mzgo

ivi inawezekana jamaa alikuwa bushman kiasi hicho? Ahudumie hvyo asile? Nahisi jack hakusema ukweli kama kina Jux, Alikiba na Dimond walipewa kiroho safiiiii sembuse huyu Nyamihela?
 
ndio ukweli halisi sijui tutaishi vp na mapenz ya utapeli
 
kwani ni whats-app peke yake basi!

hata humu humu watu wanaminyama kwa pm!
 
hahaha huuu uzi nimecheka sana,, chezeya laki tano lol

baada ya kusema hayo, naomba wafuatao tuonane mchana huu bila kukosa: Ennie Baba V Asprin

Kuna maongezi mujarab kabla mambo hayajaharibika

Kuamka asubuhi na mwanamke raha sana:smile-big:
 
Last edited by a moderator:
hahaha huuu uzi nimecheka sana,, chezeya laki tano lol

baada ya kusema hayo, naomba wafuatao tuonane mchana huu bila kukosa: Ennie Baba V Asprin

Kuna maongezi mujarab kabla mambo hayajaharibika

Kuamka asubuhi na mwanamke raha sana:smile-big:

Nasubiri venue.
cc. Asprin Baba V
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom