Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,601
- 10,097
Serekali iruhusu uraia wa nchi mbili kwa sababu unafaida nyingi sana, ila usingatie vegezo vifuatavyo ambavyo vigeuzwe kuwa sheria
- Ukiwa raia wa nchi mbili hutakiwi kugombea urais
- Ukiwa raia wa nchi mbili hutakiwi kugombea ubunge, udiwani, na uenyekiti wa mtaa
- Ukiwa raia wa nchi mbili hutakiwi kumiliki ardhi zaid ya eka moja