KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Tulihamasishwa sana kuchangia mpaka ile namba ya tigo ikawa inagoma kupokea masalio kwa kujaa.
Marehem kishazikwa, sasa tunaomba mchanganuo wenye ushahidi wa mapato na matumizi.
Ni hayo tu.
Marehem kishazikwa, sasa tunaomba mchanganuo wenye ushahidi wa mapato na matumizi.
Ni hayo tu.