babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 16,313
- 20,906
Kama ni waasi wa Kayumba, wakishirikiana na Museveni hapo pazito maana jeshini kote Rwanda Kayumba Nyamwasa ndio hero wao baada ya Fred Rwigema.
Halafu machungu aliyonayo jamaa kukoswakoswa mara 2 kuuliwa huku mwenzie kanyegire sijui akiangamizwa tutarajie mengi.
Halafu wafaransa walimchukua jamaa kiintelijensia South kwamba ana mashtaka ya kujibu France kumbe wanataka wamtengeneze akapindue.
Halafu machungu aliyonayo jamaa kukoswakoswa mara 2 kuuliwa huku mwenzie kanyegire sijui akiangamizwa tutarajie mengi.
Halafu wafaransa walimchukua jamaa kiintelijensia South kwamba ana mashtaka ya kujibu France kumbe wanataka wamtengeneze akapindue.