Kithibitisheje wakati wenyewe wamekiri kosa hadharani? Kilichopo ni kuwakamata na kuwafungulia mashtaka. Wakifungwa jela miaka 30 wakitoka hivyo vyeti vitakuwa havina maana tena.Chuo kitawezaje kuthibitisha hili?
Hamna kesi hapo Babalevo kuna kitu kakiongea hapo mwishoni listen carefully
Tuanzie mwanzo basi.
So simple. Watacheck kama kweli mmoja alisapuChuo kitawezaje kuthibitisha hili?
Uwii tena wametaja na courseSo simple. Watacheck kama kweli mmoja alisapu
Nakuuliza tena,ukijisifu mbele ya camera ulifaulu kwa cheating chuo hakijajua...na unajua kwa mujibu wa sheria cheating ni criminal.Kamasi zimeingiaje hapo..
Vijana wa siku hizi mnakosa Kabisa Uwezo wa kujenga hoja..
Umesoma nilichoandika?
Nilichozungumza ni Kama wao wakihojiwa na wakajibu hivyo kuna mtu Wa kuwashitaki?
Chuo kimeguswa wapi kwa kauli yao hiyo?
Je kuna mahali walikashfu chuo?
Wakati mwingine mjifunze kujenga hoja Sio mnaropoka tu kwa kuwa mna uwezo wa kuropoka..
Yule mwenzenu SUKUNUNU kumbe ni Kinyozi halafu anatukana Viongozi..
Unakuta hata wewe maskini Ya Mungu..Unakaa kwa shemeji yako..Na unalala Sebuleni au ni mwalimu wa Shule ya Kindergarten halFu unaniambia Nimejaza kamasi..?
Shame on you! Na ujifunze kujenga hoja bila matusi! matusi sio hoja
Hao kitakachowasaidia serikali yetu inapenda kuficha mazaifu yao sana, utasikia "tumefanya uchunguzi tumegundua hao mapacha wamedanganya, mifumo yetu ni imara sana hakuna anaeweza kumfanyia mtihani mtu mwingine hata mfanane kama IST"Ukiwa na furaha sana au hasira kuwa makini sana na maneno utakayotamka.
hakuna lolote hapo. Hiyo ni hearsay na wala haiwezi kuwa na nguvu za kisheria kuweza kuwafutia digrii zao. Kama mlishindwa kuwasimamia wakati wa mitihani, kaeni kimya.Hivi unakiri vipi kwenye kweye TV inayotazamwa na watu wengi hivyo jambo linaloweza kukuingiza matatani? Haya sasa mambo yameharibika!
Chuo Kikuu Ardhi kimepata taarifa kupitia Wasafi FM, chaneli ya YouTube ya mahojiano kati ya waandishi wa habari na mapacha wawili wanaofanana. Mahojiano hayo yalirushwa siku ya Jumatano, tarehe 6 Machi, 2024 kwenye kipindi cha Jana na Leo.
Kwenye mahojiano hayo, mapacha hao walisikika kupitia chombo hicho cha habari kuwa walisoma “Chuo cha Ardhi” na kufanya mtihani wa Hydrolojia. Katika mtihani huo, mmoja wa mapacha hao alikiri kumfanyia pacha mwenzake mtihani wa marudio (supplementary) kwa kutumia kitambulisho cha pacha mwingine.
Chuo Kikuu Ardhi tunchunguza ukweli wa taarifa hizo na baada ya uchunguzi kukamilika, umma utajulishwa matokeo ya uchunguzi huo
Imetolewa na:
Prof. Evaristo Liwa
Makamu Mkuu – Chuo Kikuu Ardhi
7 Machi, 2024
View attachment 2927199
Pia soma: Chuo cha Ardhi kinapaswa kuchukua hatua dhidi ya mabinti mapacha waliokiri kufanyiana mitihani
Habari Lukubuzo!Nakuuliza tena,ukijisifu mbele ya camera ulifaulu kwa cheating chuo hakijajua...na unajua kwa mujibu wa sheria cheating ni criminal.
Huoni kuwa chuo cha Ardhi kinaingia kwenye kashfa nzito juu ya wahitimu wake, Taifa na Dunia kwa ujumla kuhusu wahitimu wanaozalishwa chuoni hapo?
wewe unaona hiyo ni kawaida kabisa?
Kwahiyo ukifanya criminal ukahojiwa ukasema nilifanya kiki unaachwa unatembea zako ?
Sukununu kajitengenezea kiki kama wewe na wewe boya umeingia kwenye mtego wake.
Kamasi toka lini likawa tusi?
Ndo maana nakuuliza dr mangungo kichwani umejaza kamasi mpaka hili linakushinda kuona?
That is unethical but not criminal.Habari Lukubuzo!
Kwanza kabisa Cheating sio Criminal.
Napata wasiwasi kama kweli unajua Sheria hata kidogo au Hata ile Ya Ngumbaru kama mimi..
Nakubali Kichwani Nimejaza kamasi lakini Siwezi kufika Mahali Nikasema Cheating is Criminal.
Kuna Tofauti Kubwa kati ya MisCONDUCT/Displinary Offence na Criminalism..
Nenda kajifunze kuhusu Hivyo..
Kwa leo nitakuelekeza kuhusu Misconduct ya Cheating..
Misconduct ni kuvunja Taratibu (Code of conduct) zilizowekwa na Chuo au Pia unaweza ukaita ni Displinary Offence (Uhalifu wa kinidhamu)..
Sasa Displinary Offence na Code of Conduct haiwezi kumcriminalise Mtu ila ina mDishonor (Kumuondolea Heshima aliokuwa nayo)..
Kwa mujibu wa Code of conduct za Ardhi..
Kifungu cha 8.8 kifungu kidogo cha 1 na 2 hapo utajifunza maana ya Code of conduct..
ila ukisoma 8.8[3](i) utaelewa kosa walilofanya Wale Mapacha..
Shukrani na KaribuView attachment 2931050
Eti majitu mazima yamekaa yanasema yanataka kuchunguza, sasa yanachunguza nini hapo? Badala ya kufanya mambo MengineNi ngumu kudhibitisha,un less chuo wa vidéo za CCTV. Halafu hao mapacha si wapumbavu,watajibu si kweli na walikuwa wanapamba content tu ili kuvuta hisia za watu.
Nakubaliana na Wewe kabisa kwamba it was Unethical na sio criminal..That is unethical but not criminal.
Lakini ukitazama kwa angle nyingine holistically.
Kuna kosa la jinai impersonation.
Sijui kama utanielewa ama nimwage nondo zaidi
Mbona simple tu. Uchunguzi wa kwanza zitafiatiliwa CCTV camera za kipindi chao wanasoma. Pili kuna wenzao waliofanya nao mtihani wanajua,watahojiwa piaHapo ndio ngoma. watathibitishaje huo uchunguzi wao?
Uzembe wao,kama walishindwa kuwakamata siku ya paper,imekula kwa msimamizi.Eti majitu mazima yamekaa yanasema yanataka kuchunguza, sasa yanachunguza nini hapo? Badala ya kufanya mambo Mengine