Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana hata sisi hutupendi? na sisi sio member wa uamsho
View attachment 69425
View attachment 69426
Siku zote huwa napenda kujua yaliyomo kwenye vichwa vya hawa wadada wanaoweka picha za namna hii kwenye mitandao......
I think they want to be star Just like you
Ndio maana siku hizi wanaliwa kama kuku yaani kama unakumbuka enzi zetu ilikuwa kumtokea demu lazima ujipange na unaweza kuambulia patupu kama hujui mashairi ya juwata jazz band, lakini siku hizi hata huna haja ya kutongoza unaangusha tu kama mlevi na wengiwao hata chuchuba hawavai so simple yaani test ya mapenzi imepungua kama nguvu za kiume kwa baadhi ya vijanaa maana ukitembea mjini mchan mzima unaweza kuwa unavunja amri ya sita ukirudi nyumbani jioni hakuna jipya chini ya jua maana yote umekuwa ukiyaona toka asubuhi na mchan mzima
Say it again..?? Lait ungeniona nilivyochoka wala usingechat na mimi..
Kwanini unajidharau hivyo mkuu unahijati ushauri nasaa na vipimo.
hii itakusababishia kujirudisha nyuma kimaendeleo yaani utakuwa na mawazo kuwa kuna mambo ambayo wewe hushtahili pengine yako kwaajili ya watu fulani.
Yo are the hero, champion and the star of your own
Nilivyosoma hapo nilitaka kuruka kwa hasira lakini nilipoona umesema baadhi roho ikatulia,ila uliyosema ni kweli tupu,wengi wa wasichana siku hizi mawazo yao ni kuvutia ili wapate walionazo na kuishi good life.Lakini wanasahau kuwa wengi wenye good life wameifanyia kazi na kwa walio nazo bila kazi ni wachache sana.Na hii ndio sababu unakuta wanabanana kwa mwanaume mmoja hata kumi ili tu wapate japo kidogo kitu but at the end of the day wanajikuta watumiaji wa ARVs feki...
Its good that we have this fake ARVs.
What Do you think?,
Sasa mkuu Sikonge huyu shehe ndio kahubiri nini hapa,ama kweli kukosa elimu ni sawa na upofu,hivi ndio mahubiri yao yalivyo namna hii..
View attachment 69385
View attachment 69386
View attachment 69387
View attachment 69388
View attachment 69389
View attachment 69390
View attachment 69390
View attachment 69391
View attachment 69392
View attachment 69393
View attachment 69394
View attachment 69395
View attachment 69396
View attachment 69397
View attachment 69398
View attachment 69399
View attachment 69400
View attachment 69401
View attachment 69402
View attachment 69403
View attachment 69404
View attachment 69405
View attachment 69406
View attachment 69407
Haya ni mavazi ya kuvaa kwa mitoko tofauti.
Diamond hakujua ni vazi gani alivae wapi