Sanyambila
JF-Expert Member
- Jan 24, 2018
- 339
- 457
Salamu kwenu wadau!!!
Nchi yetu kupitia jeshi la polisi imeingia dosari kubwa baada ya polisi kuhussishwa na mauaji mengi ya RAIA nchini, hii nikutokana na aidha majukumu yao au ni ishara ya kuhitaji uongozi mwingine mpya. Au bahati mbaya yawezekana.
Rejea maujaji ya Mtwara ya mfanyabiashara, Mbeya kijana wa airport ya zamani Alifia cello, Mara n.k
Lakini pia wananchi wamepunguza imani na jeshi la polisi huku kukiwa na wananchi kuchukuwa sheria mkononi kwa kusema akienda polisi anatoka kesho.
Mawazo yangu sasa ni kwamba uongozi wa juu pasi na shaka umechoka nikimaanisha kiongozi mkuu, na hii alipaswa kujiudhuri au Ku step down kwa hali ya mambo yanavyoendelea kwa ustawi wa nchi na jeshi letu LA polisi.
Siro anakribia kustaafu nafikiri ndo maana wanamvumilia lakini kama amebakiza miaka 2 Au 3 anaweza kustaafishwa tu kwa hiari. Kamanda amechoka amefanya kazi kubwa saaana, yatosha.
Napenda kupendekeza KWA MAMLAKA HUSIKA KUWA MBADALA WA IGP SIRRO AWE BENEDICT WAKULYAMBA KWA SASA NI KAMISHINA WA JESHI LA POLISI MAKAO MAKUU UTAWALA DODOMA huyu Afande anafaa pia hata elimu yake ni ya juu ana masters Uganda, bachelor Udsm,Postgraduate chuo cha UONGOZI Institute ALIWAHI KUWA RPC TANGA
NI MTULIVU NA NI MKWELI ANA HOFU YA MUNGU
Huyu anafaa KUWA kiongozi mkuu WA polisi IGP MPYA
Nchi yetu kupitia jeshi la polisi imeingia dosari kubwa baada ya polisi kuhussishwa na mauaji mengi ya RAIA nchini, hii nikutokana na aidha majukumu yao au ni ishara ya kuhitaji uongozi mwingine mpya. Au bahati mbaya yawezekana.
Rejea maujaji ya Mtwara ya mfanyabiashara, Mbeya kijana wa airport ya zamani Alifia cello, Mara n.k
Lakini pia wananchi wamepunguza imani na jeshi la polisi huku kukiwa na wananchi kuchukuwa sheria mkononi kwa kusema akienda polisi anatoka kesho.
Mawazo yangu sasa ni kwamba uongozi wa juu pasi na shaka umechoka nikimaanisha kiongozi mkuu, na hii alipaswa kujiudhuri au Ku step down kwa hali ya mambo yanavyoendelea kwa ustawi wa nchi na jeshi letu LA polisi.
Siro anakribia kustaafu nafikiri ndo maana wanamvumilia lakini kama amebakiza miaka 2 Au 3 anaweza kustaafishwa tu kwa hiari. Kamanda amechoka amefanya kazi kubwa saaana, yatosha.
Napenda kupendekeza KWA MAMLAKA HUSIKA KUWA MBADALA WA IGP SIRRO AWE BENEDICT WAKULYAMBA KWA SASA NI KAMISHINA WA JESHI LA POLISI MAKAO MAKUU UTAWALA DODOMA huyu Afande anafaa pia hata elimu yake ni ya juu ana masters Uganda, bachelor Udsm,Postgraduate chuo cha UONGOZI Institute ALIWAHI KUWA RPC TANGA
NI MTULIVU NA NI MKWELI ANA HOFU YA MUNGU
Huyu anafaa KUWA kiongozi mkuu WA polisi IGP MPYA