IGP achukue hatua za haraka kwa RPC Manyara kushindwa kutimiza wajibu wake

RWANDES

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,615
3,909
Kama IGP atashindwa kuchukua hatua kwa RPC Manyara ambaye alishuhudia kijana akiteswa na kufanyiwa ukatili wa hali ya juu mbele ya aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mh. Gekul basi tutaamini kwamba jeshi la Polisi Tanzania lipo kwa ajili ya kulinda viongozi wa kisiasa katika nafasi zao.

Maoni yangu kwa IGP wa jeshi la polisi Camilius Wambura chukua hatua kwa viongozi wako wa chini wanaoshindwa kutekekeza wajibu wao kwa kuogopa status za wahalifu kama huyo aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria.

Aliyekuteua anakuangalia hatua zipi utachukua kwa RPC huyo yeye hatua za awali tayari amemfuta kazi Naibu Waziri kazi imebaki kwako kwa mhalifu huyo na kwa RPC wako ambaye ameshindwa kutimiza wajibu wake hadi media zilipoibua uovu huo.
 
Kama IGP atashindwa kuchukua hatua kwa RPC Manyara ambaye alishuhudia kijana akiteswa na kufanyiwa ukatili wa hali ya juu mbele ya aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mh. Gekul basi tutaamini kwamba jeshi la Polisi Tanzania lipo kwa ajili ya kulinda viongozi wa kisiasa katika nafasi zao.

Maoni yangu kwa IGP wa jeshi la polisi Camilius Wambura chukua hatua kwa viongozi wako wa chini wanaoshindwa kutekekeza wajibu wao kwa kuogopa status za wahalifu kama huyo aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria.

Aliyekuteua anakuangalia hatua zipi utachukua kwa RPC huyo yeye hatua za awali tayari amemfuta kazi Naibu Waziri kazi imebaki kwako kwa mhalifu huyo na kwa RPC wako ambaye ameshindwa kutimiza wajibu wake hadi media zilipoibua uovu huo.
Ukweli mtupu polisi wote waliohusika na huu ufirauni wachukuliwe hatua stahiki kwa namna hii hawa siku nyingine wanaweza kuambiwa chochote na mtu mwenye cheo wakatekeleza bila ya kufuata sheria au miongozo ya kazi zao,
They must know they are not allowed to follow unlwful orders otherwise wanakuwa wahalifu kama wahalifu wengine tu
 
Jeshi la Polisi lifanye kazi kwa kufuata GPO na Sheria za nchi, vinginevyo wananchi wasio na hatia wataumizwa na watu wenye misuli ya fedha na Mamlaka hapa nchini
 
Kama IGP atashindwa kuchukua hatua kwa RPC Manyara ambaye alishuhudia kijana akiteswa na kufanyiwa ukatili wa hali ya juu mbele ya aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mh. Gekul basi tutaamini kwamba jeshi la Polisi Tanzania lipo kwa ajili ya kulinda viongozi wa kisiasa katika nafasi zao.

Maoni yangu kwa IGP wa jeshi la polisi Camilius Wambura chukua hatua kwa viongozi wako wa chini wanaoshindwa kutekekeza wajibu wao kwa kuogopa status za wahalifu kama huyo aliyekuwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria.

Aliyekuteua anakuangalia hatua zipi utachukua kwa RPC huyo yeye hatua za awali tayari amemfuta kazi Naibu Waziri kazi imebaki kwako kwa mhalifu huyo na kwa RPC wako ambaye ameshindwa kutimiza wajibu wake hadi media zilipoibua uovu huo.
Kumuacha RPC Katabazi ofisini ni tusi Kwa haki za binadamu.
 
Back
Top Bottom