John Heche: Makonda anawahoji Polisi kwenye mkutano wa hadhara wa CCM kwasababu anawaona kama green guard

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Jan 27, 2018
754
3,097
Polisi walianza kujiingiza ccm, baadae wakajigeuza kuwa wanachama wa ccm. IGP kadhaa wameruhusu hilo litokee.

Leo Makonda anamuita mtu mwenye level ya RPC anamuhoji kwenye mkutano wa hadhara. Hii inatokea kwasababu Makonda anajua hawa ni wanachama wao.

Polisi wetu wanapaswa kufanya kazi kwa mujibu wa sheria na muongozo wao unaoitwa police general orders (PGOs) ni wapi Makonda na ccm wametajwa kwenye hivyo vitabu..

Kwamba jeshi la polisi lina makosa ni kweli, kwamba watu wanatekwa na serikali ya ccm na wengine kupotezwa kizembe ni kweli. Kwamba polisi wanapaswa kuwajibishwa ni kweli.

Sijwahi kuona hata IGP anawafokea RPCS hadharani.

Lakini RPC anaitwa na kuhojiwa kama mtoto mdogo bila kufuata sheria wala taratibu, huyu anawezaje kusimamia sheria na kutenda haki.

Makonda anawahoji kwenye hadhara kwasababu anawaona nyie ni green guard tu.

Tunahitaji kuunda upya chombo hiki muhimu kitakachoongozwa na watu wenye uwezo na weledi wa kusimamia sheria za Nchi.

Heche.png
 
Haya maagizo kwa polisi yalianza muda mrefu nyuma ya pazia,na polisi wakawa wanatii Kila wanachoambiwa hata amri zilizo kinyume na sheria, yaani maagizo kutoka juu. Baada ya ccm kuona viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama wanatii chochote wanachaigizwa bila kujali Sheria, Sasa hivi wanatoka hadharani kuwahoji kwa dharau Ili kupata mtaji wa kisiasa.

Ni kwanini viongozi wa vyombo vya Dola wanawanyenyekea wasiasa?

Kwanza ni kutokana na katiba inayompa madaraka rais ya kuteua Kila kiongozi wa taasisi, na hasa ukizingatia anateua kwa utashi wake bila kushurutishwa na yoyote. Na mara nyingi rais unakuta ni kiongozi wa ccm, hivyo anaweza kumfukuza kiongozi wa taarisisi yoyote bila kuwajibishwa popote.

Pili hizo nafasi za viongozi wa vyombo vya Dola huwa vinaambatana na mshahara mnono, na rushwa kubwa kubwa. Unakuta kiongozi wa chombo Cha Dola amefaidika na rushwa kubwa kubwa, na ana Miradi isiyoendana na kipato chake, hivyo akileta ujuaji anakomolewa kwa kubanwa katika Miradi yake, na wakati mwingine kuishia jela. Hakuna kiongozi yoyote atakubali hayo, Bora adhalilishwe kwa muda kuliko maslahi yake binafsi kuguswa.
 
Kwani hao RPC's ni wakina nani mpaka wasihojiwe na wananchi?

Heche anataka kusema ili kuwahoji hao, kuna sheria maalum imewekwa kuonesha ni wakina nani wanaotakiwa kuwahoji RPC's?

- Kama ni hiyo PGO ndio imeainisha hayo, basi angetuambia ni kifungu kipi ndio kinasema hivyo.

Kama RPC's wamewekwa kwa ajili ya kuwatumikia wananchi, sioni kwanini wasihojiwe na wananchi wanaowatumikia.

Wale sio mabosi wa wananchi, ni watumishi wa wananchi, na wala hawalipwi mishahara ili wakae ofisini, wanatakiwa kutoka wakasikilize kero za wananchi mitaani.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Kwani hao RPC's ni wakina nani mpaka wasihojiwe na wananchi?

Heche anataka kusema ili kuwahoji hao, kuna sheria maalum imewekwa kuonesha ni wakina nani wanatakiwa kuwahoji RPC's?

- Kama ni hiyo PGO ndio imeainisha hayo, basi angetuambia ni kifungu kipi ndio kinasema hivyo.

Kama RPC's wamewekwa kwa ajili ya kuwatumikia wananchi, sioni kwanini wasihojiwe na wananchi wanaowatumikia.

Wale sio mabosi wa wananchi, ni watumishi wa wananchi, na wala hawalipwi mishahara ili wakae ofisini, wanatakiwa kutoka wakasikilize kero za wananchi mitaani.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
PGO imejaa kila kitu kwa kona zote...

Lakini sheria nayo imeweka utaratibu wa kuwahoji na kuwawajibisha maafisa wa polisi...

Hizi political bonanza zinadhalilisha dhana ya utawala bora (ambao kimsingi ni hoax)
 
Kwani hao RPC's ni wakina nani mpaka wasihojiwe na wananchi?

Heche anataka kusema ili kuwahoji hao, kuna sheria maalum imewekwa kuonesha ni wakina nani wanaotakiwa kuwahoji RPC's?

- Kama ni hiyo PGO ndio imeainisha hayo, basi angetuambia ni kifungu kipi ndio kinasema hivyo.

Kama RPC's wamewekwa kwa ajili ya kuwatumikia wananchi, sioni kwanini wasihojiwe na wananchi wanaowatumikia.

Wale sio mabosi wa wananchi, ni watumishi wa wananchi, na wala hawalipwi mishahara ili wakae ofisini, wanatakiwa kutoka wakasikilize kero za wananchi mitaani.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Sasa Heche SI awaambie Polisi wasikubali kuhojiwa na Mwenezi,kwani shida ipo wapi?
 
Polisi walianza kujiingiza ccm, baadae wakajigeuza kuwa wanachama wa ccm. IGP kadhaa wameruhusu hilo litokee.

Leo Makonda anamuita mtu mwenye level ya RPC anamuhoji kwenye mkutano wa hadhara. Hii inatokea kwasababu Makonda anajua hawa ni wanachama wao.

Polisi wetu wanapaswa kufanya kazi kwa mujibu wa sheria na muongozo wao unaoitwa police general orders (PGOs) ni wapi Makonda na ccm wametajwa kwenye hivyo vitabu..

Kwamba jeshi la polisi lina makosa ni kweli, kwamba watu wanatekwa na serikali ya ccm na wengine kupotezwa kizembe ni kweli. Kwamba polisi wanapaswa kuwajibishwa ni kweli.

Sijwahi kuona hata IGP anawafokea RPCS hadharani.

Lakini RPC anaitwa na kuhojiwa kama mtoto mdogo bila kufuata sheria wala taratibu, huyu anawezaje kusimamia sheria na kutenda haki.

Makonda anawahoji kwenye hadhara kwasababu anawaona nyie ni green guard tu.

Tunahitaji kuunda upya chombo hiki muhimu kitakachoongozwa na watu wenye uwezo na weledi wa kusimamia sheria za Nchi.

Unaendelea kuamini ujinga wa Heche! Sasa kama kuna malalamiko RPC asihojiwe? Hivi Nyinyi CHADEMA ni wapuuzi sana! Polisi ipo kwa usalama wa raia na mali zao!
Kwa vile kahoji adui yenu Makonda mnabweka!
CHADEMA mnejaa chuki,unafiki na kutojua mnachotaka!
 
PGO imejaa kila kitu kwa kona zote...

Lakini sheria nayo imeweka utaratibu wa kuwahoji na kuwawajibisha maafisa wa polisi...

Hizi political bonanza zinadhalilisha dhana ya utawala bora (ambao kimsingi ni hoax)
Hebu tuwekee hicho kifungu kinachosema nani wanatakiwa kuwahoji RPC's kutoka kwenye PGO kama unacho.

Mimi ninachoamini, hata Heche binafsi anatakiwa kumhoji RPC popote akiwa na concern inayohitaji majibu toka kwake, tatizo ninaloliona hapa ni kwamba, Heche ameamua kuipiga teke haki yake hiyo akiamini kwamba, hawezi kuipata kama ambavyo Makonda ameipata.

Hii inasababishwa na siasa za CCM kuingia kwenye jeshi la polisi, lakini tukiweka siasa hizo pembeni, raia wote wa nchi hii ni sawa, hayupo aliye juu ya sheria, hivyo Heche anatakiwa kuipigania haki yake badala ya kumlalamikia Makonda kuitumia haki yake hata kama anatokea CCM.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Kwani hao RPC's ni wakina nani mpaka wasihojiwe na wananchi?

Heche anataka kusema ili kuwahoji hao, kuna sheria maalum imewekwa kuonesha ni wakina nani wanaotakiwa kuwahoji RPC's?

- Kama ni hiyo PGO ndio imeainisha hayo, basi angetuambia ni kifungu kipi ndio kinasema hivyo.

Kama RPC's wamewekwa kwa ajili ya kuwatumikia wananchi, sioni kwanini wasihojiwe na wananchi wanaowatumikia.

Wale sio mabosi wa wananchi, ni watumishi wa wananchi, na wala hawalipwi mishahara ili wakae ofisini, wanatakiwa kutoka wakasikilize kero za wananchi mitaani.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Wanataka kutufanya wote nyumbu! Ujinga wa hali ya juu kuona RPC ni mtu asiyetakiwa kuhojiwa kisa ujinga anaitwa PGO!
 
Kwani hao RPC's ni wakina nani mpaka wasihojiwe na wananchi?

Heche anataka kusema ili kuwahoji hao, kuna sheria maalum imewekwa kuonesha ni wakina nani wanaotakiwa kuwahoji RPC's?

- Kama ni hiyo PGO ndio imeainisha hayo, basi angetuambia ni kifungu kipi ndio kinasema hivyo.

Kama RPC's wamewekwa kwa ajili ya kuwatumikia wananchi, sioni kwanini wasihojiwe na wananchi wanaowatumikia.

Wale sio mabosi wa wananchi, ni watumishi wa wananchi, na wala hawalipwi mishahara ili wakae ofisini, wanatakiwa kutoka wakasikilize kero za wananchi mitaani.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app

Katibu mwenezi nina serikalini mpaka amuhoji mtumishi wa umma!?ni kutojitambua tu una unaweza kuta alipo itwa akasimama na kumpigia kabisa salute.
 
Katibu mwenezi nina serikalini mpaka amuhoji mtumishi wa umma!?ni kutojitambua tu una unaweza kuta alipo itwa akasimama na kumpigia kabisa salute.
Kwani watumishi wa umma nchi hii ni miunguwatu?

Nini maana ya kuitwa "mtumishi wa umma"?

Huwezi kuitwa mtumishi wa umma halafu tena ukawekewa vijisheria vinavyokubana kuwasiliana na huo umma unaoutumikia, hii kitu naona haileti maana kabisa.

Kama hizo sheria zipo kwa maoni yangu ni batili, mtumishi wa umma ni mali ya umma, anatakiwa kuhojiwa na yeyote bila kujali anatokea wapi ilimradi awe raia wa Tanzania.

How comes "mtumishi wa umma" awekewe tena vijisheria vya kumtenga na huo umma anaouongoza? kama hivyo ndivyo, basi huyo sio mtumishi wa umma tena, ni mtumishi wa hao alioruhusiwa wamhoji pekee.

NB. Mtumishi wa umma anafanya kazi kwa ajili ya watanzania wote bila kujali jinsia, rangi, itikadi, kabila, na vyote vingine.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Katibu mwenezi nina serikalini mpaka amuhoji mtumishi wa umma!?ni kutojitambua tu una unaweza kuta alipo itwa akasimama na kumpigia kabisa salute.
Uma ni nini? Polisi anawajibu gani? Kwa hiyo kosa kuhoji Makonda ambaye kimantiki ni raia ndo tatizo lenu?
CHADEMA mara ngapi wamehoji utendaji wa jeshi la polisi Ikiwemo huyo Heche!
Tatizo lenu mnaendeshwa na chuki,mihemko na kutojua mnachotaka!
 
Tofautisha kulopoka majukwaani ili kufurahisha watu professional standing order .CCM haijaajiri askari katika nchi hii ni serikali ndiyo imeajiri,Makonda apige kelele na madiwan,wabunge na wenyeviti wa vijiji n.k (Waliopatikana kwa njia ya siasa) na SI kuhoji watu walioingia kazin kwa weledi wa darasan.
Ni muhimu kujenga taasisi za kutatua matatizo ya watu kwa weledi zaidi kuliko kutumia majukwaa ya siasa.
Hata kama ni uchawa wakati fulan tumieni akili kutafakar.
 
Tofautisha kulopoka majukwaani ili kufurahisha watu professional standing order .CCM haijaajiri askari katika nchi hii ni serikali ndiyo imeajiri,Makonda apige kelele na madiwan,wabunge na wenyeviti wa vijiji n.k (Waliopatikana kwa njia ya siasa) na SI kuhoji watu walioingia kazin kwa weledi wa darasan.
Ni muhimu kujenga taasisi za kutatua matatizo ya watu kwa weledi zaidi kuliko kutumia majukwaa ya siasa.
Hata kama ni uchawa wakati fulan tumieni akili kutafakar.
Kulopoka ndo nini? Nenda shule kwanza wewe nyumbu!
 
Hebu tuwekee hicho kifungu kinachosema nani wanatakiwa kuwahoji RPC's kutoka kwenye PGO kama unacho.

Mimi ninachoamini, hata Heche binafsi anatakiwa kumhoji RPC popote akiwa na concern inayohitaji majibu toka kwake, tatizo ninaloliona hapa ni kwamba, Heche ameamua kuipiga teke haki yake hiyo akiamini kwamba, hawezi kuipata kama ambavyo Makonda ameipata.

Hii inasababishwa na siasa za CCM kuingia kwenye jeshi la polisi, lakini tukiweka siasa hizo pembeni, raia wote wa nchi hii ni sawa, hayupo aliye juu ya sheria, hivyo Heche anatakiwa kuipigania haki yake badala ya kumlalamikia Makonda kuitumia haki yake hata kama anatokea CCM.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Unajua neno mpumbavu ni zawadi kwa mwenye haiba hiyo.
Kabla huajaandika upuuzi wako ulipaswa kuelewa nilichoandika.

Quote eneo sahihi niliposema fulani in brackets ndo wanapaswa kuhoji polisi. Ninaunga mkono hoja kwamba upuuzi wa CCM kujinyakulia mamlaka wasiyokuwa nayo kiasi kwamba wanaweza kufanya lolote kwa sababu hao polisi ni kama green guard yao.

Sheria imeweka utaratibu wa kuratibu, kusimamia na kuwajibisha polisi endapo anakwenda kinyume na maadili au usahihi wa kiutendaji. Mpumbavu mmoja anasimama na kuvimbisha shingo anauliza nataka kifungu cha sheria kinachosema nani anapaswa kumhoji askari polisi.
 
Unajua neno mpumbavu ni zawadi kwa mwenye haiba hiyo.
Kabla huajaandika upuuzi wako ulipaswa kuelewa nilichoandika.

Quote eneo sahihi niliposema fulani in brackets ndo wanapaswa kuhoji polisi. Ninaunga mkono hoja kwamba upuuzi wa CCM kujinyakulia mamlaka wasiyokuwa nayo kiasi kwamba wanaweza kufanya lolote kwa sababu hao polisi ni kama green guard yao.

Sheria imeweka utaratibu wa kuratibu, kusimamia na kuwajibisha polisi endapo anakwenda kinyume na maadili au usahihi wa kiutendaji. Mpumbavu mmoja anasimama na kuvimbisha shingo anauliza nataka kifungu cha sheria kinachosema nani anapaswa kumhoji askari polisi.
Muone huyu nae..!!

Mwenyewe umeandika "PGO imejaa kila kitu kwa kona zote" hapo ndipo nikapata sababu ya kukwambia tuwekee tupaone wapi pameainisha nani wanatakiwa kuwahoji RPC's.

Ukaendelea kusema; "sheria imeweka utaratibu wa kuwahoji na kuwawajibisha maafisa wa polisi"

Kumbe hata hujui maana ya kile unachoandika!

Ukiwa na njaa usiwe na argument nami, kwanza kula ushibe, vinginevyo mitusi itakutoka sana.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom