Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 754
- 3,097
Polisi walianza kujiingiza ccm, baadae wakajigeuza kuwa wanachama wa ccm. IGP kadhaa wameruhusu hilo litokee.
Leo Makonda anamuita mtu mwenye level ya RPC anamuhoji kwenye mkutano wa hadhara. Hii inatokea kwasababu Makonda anajua hawa ni wanachama wao.
Polisi wetu wanapaswa kufanya kazi kwa mujibu wa sheria na muongozo wao unaoitwa police general orders (PGOs) ni wapi Makonda na ccm wametajwa kwenye hivyo vitabu..
Kwamba jeshi la polisi lina makosa ni kweli, kwamba watu wanatekwa na serikali ya ccm na wengine kupotezwa kizembe ni kweli. Kwamba polisi wanapaswa kuwajibishwa ni kweli.
Sijwahi kuona hata IGP anawafokea RPCS hadharani.
Lakini RPC anaitwa na kuhojiwa kama mtoto mdogo bila kufuata sheria wala taratibu, huyu anawezaje kusimamia sheria na kutenda haki.
Makonda anawahoji kwenye hadhara kwasababu anawaona nyie ni green guard tu.
Tunahitaji kuunda upya chombo hiki muhimu kitakachoongozwa na watu wenye uwezo na weledi wa kusimamia sheria za Nchi.
Leo Makonda anamuita mtu mwenye level ya RPC anamuhoji kwenye mkutano wa hadhara. Hii inatokea kwasababu Makonda anajua hawa ni wanachama wao.
Polisi wetu wanapaswa kufanya kazi kwa mujibu wa sheria na muongozo wao unaoitwa police general orders (PGOs) ni wapi Makonda na ccm wametajwa kwenye hivyo vitabu..
Kwamba jeshi la polisi lina makosa ni kweli, kwamba watu wanatekwa na serikali ya ccm na wengine kupotezwa kizembe ni kweli. Kwamba polisi wanapaswa kuwajibishwa ni kweli.
Sijwahi kuona hata IGP anawafokea RPCS hadharani.
Lakini RPC anaitwa na kuhojiwa kama mtoto mdogo bila kufuata sheria wala taratibu, huyu anawezaje kusimamia sheria na kutenda haki.
Makonda anawahoji kwenye hadhara kwasababu anawaona nyie ni green guard tu.
Tunahitaji kuunda upya chombo hiki muhimu kitakachoongozwa na watu wenye uwezo na weledi wa kusimamia sheria za Nchi.