Maoni: Safu ya Baraza la Mawaziri haiakisi maendeleo, inaakisi nchi kumilikiwa na familia fulani zinazoamini bila wao hakuna Tanzania

Inaonekana Kikwete alikuwa na plan B yake baada ya kushindwa kumchomeka Membe.
Ndipo akamchomeka live Samia palepale Dodoma, siku hiyo yeye ndie alipendekeza jina la Samia.

Na hata Samia mwenyewe kwenye moja ya clip alieleza wazi kikwete alivyoenda kumtoa chumbani kule walikokuwa wamewekwa ili kusubiri matokeo ya kura za wajumbe.
Na kumleta ukumbini kutangazwa rasmi kama mshindi.
Ilhali kulikuwa na wajumbe wengi jinsia ya kike,ambao wangeweza kuifanya kazi hiyo (ya kwenda kumleta mwali ukumbini).

Sasa ni wazi kwamba huyu mama alikuwa main source ya taarifa nyeti za Kigogo14 kutoka Ikulu.
Kigogo alikuwa na bado ni Januari Makamba na hili liko wazi kwa jamii.

Siku ile wanazuga ziara ya Tanga, alikuwa na waziri Ummy mwalimu,na angalia anavyombeba Ummy pamoja na poor performance yake kwenye kila wizara anayowekwa.
Pamoja na scandal kibao zinazoanikwa kila uchao TAM8SEMI jimboni kwake.

Ile picha yake Makamba Bungeni Dodoma mbele ya jeneza la hayati JPM na maandishi aliyoyaweka chini yake, bado tunayakumbuka.

Teuzi za mawaziri wa Samia pia zina ujumbe wazi kwamba alikuwa si team ,JPM bali special project.

Kurudishwa Nape wizara ya habari ni project visasi kwa watu fulani inaandaliwa (mark my word).

Eeh Mola tuokowe watanzania.
Ukimaliza kula lala kesho kanisani!

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Funga bakuli lako tunafungua nchi.... Kipindi cha pombe anajaza humo hadi watoto wa dada ulisema au kwa vile ni wa nyumbani?
Niambie sasa hao watoto wa dada wa Magu ambao mama amewatoa?

Nyie machawa ndio mnafanya kina Riz 1 wajione hii nchi ni yao pekee
 
Ikulu
Mkuchika

Utumishi
Mhagama
Ndejembi

Tamaisemi
Bashungwa
Silinde
Festo

Makamu wa Rais
Jafo
Hamis hamis


Sera Bunge
Pindi Chana
Nderiananga

Ajira na kazi
Ndalichako
Katambi

Fedha
Mwigulu
Chande

Ulinzi
Tax

Ndani
Masauni
Sagini

Katiba
Simbachawene
Pinda

Mambo ya Nje
Mulamula
Mbaruku

Kilimo
Bashe
Mavunde


Mifugo
Mashimba
Ulega

Ardhi
Mabula
Kikwete

Maliasili
Ndumbaro
Masanja

Nishati
Makamba
Byabato

Madini
Biteko
Kiluswa

Ujenzi
Mbarawa
Atupele Mwakibete
Godtlfrey Kasekenya

Viwanda
Kijaji
Kigahe

Afya
Ummy Mwalimu
Ole Mollel


Elimu
Mkenda
Kipanga

Maendeleo ya kamii
Gwajima dorothy
Mwanaidi Hamis

Maji
Jumaa aweso
Mahundi

Utamaduni
Mchengerwa
Gekul

Habari Mawasiliano
Nape Nnauye
Kundo Mathew
Nasikia soon or later governor pia anaondoka pale BOT
 
Masauni ni wa znz pia
naona huu mwaka spika nae atoke tu znz
Waziri mkuu nae znz!

Hivi akina Kabudi, Mkuvi na wengine hata Majaliwa
si wajitoe ccm?
Kweli hii nchi imekuwa genge sasa!

Upinzani hii ndiyo nafasi pekee ya kuingia Ikulu
huenda Mungu amejibu maombi yenu
Cha msingi mleteni mtu sahihi!
Upinzani upi?

Hawa walioshangilia hangaya akifinyanga bunge wakifikiri wanamkomoa ndugai?
 
Mabavicha juzi mama aliposema anaandaa mkeka wa mawaziri yakawa yanaruka na kudemka yalifikiri sijui atawekwa Lisu na mbowe?
Nawadharau sana hao jamaa, yani wanafuata upepo kushinda hata bendera.
 
Magufuli alijaza ndugu kuanzia baraza,hazina hadi makatibu tawala akiwemo mwanaye wa kumzaa Ruth Magufuli ambaye ni katibu tawala wilaya ya Morogoro.

Hoffman Sanga mkwe wake Magufuli katibu tawala wilaya ya Mvomero.

Dotto James katibu mkuu hazina ili kurahisisha uchotaji wa fedha bila kuulizwa.

Haya mbona hukuhoji hadi ukae kuhoji leo?
Taja hao ndugu wa Magu, alafu twambie wako wapi sasa hivi?
 
Tumechoka kupigwa mshono na bi kidude jadi tumekuwa sugu. Kabudi - tremendous job mikataba na rasilimali zetu.

Lukuvi 😭 kila mtu anajua.

CCM mjiandae kuangukia mapua manene Ka tembo
 
Imeniuma kigwangala kaachwa halafu waziri wa utumishi kabadilishwa na yule mama mcheza segere
 
Wananchi hivi kwa baraza la mawazili lililoteuliwa leo, kweli hili baraza ndio litatuvusha kwenye mikakati ya maendeleo mpaka kufika 2025, au mawazili walioteuliwa wameteuliwa kwa ajili ya kutumika kuivusha tena kijani 2025, kama kweli tunahitaji maendeleo basi hatuna budi kuuvaa ujasiri na kukataa kupelekeshwa kwa namna hii.
Ifike mahari tuseme sasa imetosha enough is enough!!!! Tuache woga watz
 
Muda wa kubebana umetosha. Uchaguzi Mkuu 2025 wananchi watafanya maamuzi. Izingatiwe kuwa wapigaji kura wengi watakuwa vijana ambao TEHAMA wanaitumia vyema.

Tuhamasishane kuwanyima kura wanasiasa wenye agenda binafsi ili wasiweze kupewa uteuzi na mamlaka
 
Mabavicha juzi mama aliposema anaandaa mkeka wa mawaziri yakawa yanaruka na kudemka yalifikiri sijui atawekwa Lisu na mbowe?
...Hawa Chadema walikufanya nini?...mbona unawashambulia sana?
 
Back
Top Bottom