Maoni: Safu ya Baraza la Mawaziri haiakisi maendeleo, inaakisi nchi kumilikiwa na familia fulani zinazoamini bila wao hakuna Tanzania

Relax , Upepo Utageuzwa ni suala la Muda .

Mama tumeshamsoma vyema sana na ile timu mwafulani yote imeshakaa Kwenye line

Nchi imesharudi nyuma ilipotoka

. Ni dhahir kwamba Mama hakuwa sehemu ya JPM na huyu Mama ndio alikuwa ni uchochoro wa taarifa za karibu za JPM na mipango mingi kumfikia KIGOGO( TIMU MWAFULANI GROUP).

ni timu ile ile iliyoozesha nchi kati ya 2010 hadi 2015 . Tanzania inapitia hard time sana na wanasema ukiona giza linakuwa kubwa ujue kupambazuka kunakaribia

JPM mpya atazaliwa tena 2025. We have lost a battle not a war. Mama hii vita wala haiwezi ; she is just ill advised
Inaonekana Kikwete alikuwa na plan B yake baada ya kushindwa kumchomeka Membe.
Ndipo akamchomeka live Samia palepale Dodoma, siku hiyo yeye ndie alipendekeza jina la Samia.

Na hata Samia mwenyewe kwenye moja ya clip alieleza wazi kikwete alivyoenda kumtoa chumbani kule walikokuwa wamewekwa ili kusubiri matokeo ya kura za wajumbe.
Na kumleta ukumbini kutangazwa rasmi kama mshindi.
Ilhali kulikuwa na wajumbe wengi jinsia ya kike,ambao wangeweza kuifanya kazi hiyo (ya kwenda kumleta mwali ukumbini).

Sasa ni wazi kwamba huyu mama alikuwa main source ya taarifa nyeti za Kigogo14 kutoka Ikulu.
Kigogo alikuwa na bado ni Januari Makamba na hili liko wazi kwa jamii.

Siku ile wanazuga ziara ya Tanga, alikuwa na waziri Ummy mwalimu,na angalia anavyombeba Ummy pamoja na poor performance yake kwenye kila wizara anayowekwa.
Pamoja na scandal kibao zinazoanikwa kila uchao TAM8SEMI jimboni kwake.

Ile picha yake Makamba Bungeni Dodoma mbele ya jeneza la hayati JPM na maandishi aliyoyaweka chini yake, bado tunayakumbuka.

Teuzi za mawaziri wa Samia pia zina ujumbe wazi kwamba alikuwa si team ,JPM bali special project.

Kurudishwa Nape wizara ya habari ni project visasi kwa watu fulani inaandaliwa (mark my word).

Eeh Mola tuokowe watanzania.
 
Inaonekana Kikwete alikuwa na plan B yake baada ya kushindwa kumchomeka Membe.
Ndipo akamchomeka live Samia palepale Dodoma, siku hiyo yeye ndie alipendekeza jina la Samia.

Na hata Samia mwenyewe kwenye moja ya clip alieleza wazi kikwete alivyoenda kumtoa chumbani kule walikokuwa wamewekwa ili kusubiri matokeo ya kura za wajumbe.
Na kumleta ukumbini kutangazwa rasmi kama mshindi.
Ilhali kulikuwa na wajumbe wengi jinsia ya kike,ambao wangeweza kuifanya kazi hiyo (ya kwenda kumleta mwali ukumbini).

Sasa ni wazi kwamba huyu mama alikuwa main source ya taarifa nyeti za Kigogo14 kutoka Ikulu.
Kigogo alikuwa na bado ni Januari Makamba na hili liko wazi kwa jamii.

Siku ile wanazuga ziara ya Tanga, alikuwa na waziri Ummy mwalimu,na angalia anavyombeba Ummy pamoja na poor performance yake kwenye kila wizara anayowekwa.
Pamoja na scandal kibao zinazoanikwa kila uchao TAM8SEMI jimboni kwake.

Ile picha yake Bungeni Dodoma mbele ya jeneza la hayati JPM na maandishi aliyoyaweka chini yake, bado tunayakumbuka.

Teuzi za mawaziri wa Samia pia zina ujumbe wazi kwamba alikuwa si team ,JPM bali special project.

Eeh Mola tuokowe watanzania.
Kama nakuelewa hivi!!
 
Kuna bedui mmoja alijaza wapwa zake na wapigaji wenzake lakini hatukusikia mkilalamika!
Hawakuwa na mpaka sasa hawana scandal, tofauti na hawa anaowarudisha mama yenu.

Scandal zao ziko wazi....mfano Makamba ameingia TANESCO tu.

Akaingia mkataba wa mabilioni ya shilingi na kampuni ya kutoka India.
Kwamba inakuja kuboresha mfumo wa utendaji kidigitali zaidi.
Je huu ukosefu wa umeme tunaoshuhudia nchini ndio uboreshaji wenyewe?

Huyo Nape na ufisadi wake uuzwaji wa Chanel Ten kinyemela.

Kujichukulia magari mapya V8 mali ya chama mawili na kuyaficha kwake isivyo halali, mpaka alipoumbuliwa na kamati ya Dk Bashiru ya uhakiki mali za chama.
Je ana uhalali gani kurudi pale kama sio plan flani hivi ya visasi inaandaliwa.

Fanyeni mzaha lakini iko siku watu watagawana mbai kama utani vile.
 
Hapo kilichopangwa ni safu ya 2025, usitarajie mabadiliko ya kiutendaji zaidi ya business as usual..
 
Kwangu mimi safu ya baraza la mawaziri haiakisi maendeleo bali ina hakisi nchi kuumizwa kwa ufisadi na rushwa iliyokomaa. Naumia sana kuwa raia wa kawaida mpenda mabadiliko ya kweli pale nchi inapochezewa.
 
Inaonekana Kikwete alikuwa na plan B yake baada ya kushindwa kumchomeka Membe.
Ndipo akamchomeka live Samia palepale Dodoma, siku hiyo yeye ndie alipendekeza jina la Samia.

Na hata Samia mwenyewe kwenye moja ya clip alieleza wazi kikwete alivyoenda kumtoa chumbani kule walikokuwa wamewekwa ili kusubiri matokeo ya kura za wajumbe.
Na kumleta ukumbini kutangazwa rasmi kama mshindi.
Ilhali kulikuwa na wajumbe wengi jinsia ya kike,ambao wangeweza kuifanya kazi hiyo (ya kwenda kumleta mwali ukumbini).

Sasa ni wazi kwamba huyu mama alikuwa main source ya taarifa nyeti za Kigogo14 kutoka Ikulu.
Kigogo alikuwa na bado ni Januari Makamba na hili liko wazi kwa jamii.

Siku ile wanazuga ziara ya Tanga, alikuwa na waziri Ummy mwalimu,na angalia anavyombeba Ummy pamoja na poor performance yake kwenye kila wizara anayowekwa.
Pamoja na scandal kibao zinazoanikwa kila uchao TAM8SEMI jimboni kwake.

Ile picha yake Makamba Bungeni Dodoma mbele ya jeneza la hayati JPM na maandishi aliyoyaweka chini yake, bado tunayakumbuka.

Teuzi za mawaziri wa Samia pia zina ujumbe wazi kwamba alikuwa si team ,JPM bali special project.

Kurudishwa Nape wizara ya habari ni project visasi kwa watu fulani inaandaliwa (mark my word).

Eeh Mola tuokowe watanzania.
Ni wazi huyu mama anajua ni sumu gani waliyotumia kumuondoa magufuli.
 
Hawakuwa na mpaka sasa hawana scandal, tofauti na hawa anaowarudisha mama yenu.

Scandal zao ziko wazi....mfano Makamba ameingia TANESCO tu.

Akaingia mkataba wa mabilioni ya shilingi na kampuni ya kutoka India.
Kwamba inakuja kuboresha mfumo wa utendaji kidigitali zaidi.
Je huu ukosefu wa umeme tunaoshuhudia nchini ndio uboreshaji wenyewe?

Huyo Nape na ufisadi wake uuzwaji wa Chanel Ten kinyemela.

Kujichukulia magari mapya V8 mali ya chama mawili na kuyaficha kwake isivyo halali, mpaka alipoumbuliwa na kamati ya Dk Bashiru ya uhakiki mali za chama.
Je ana uhalali gani kurudi pale kama sio plan flani hivi ya visasi inaandaliwa.

Fanyeni mzaha lakini iko siku watu watagawana mbai kama utani vile.
Acheni majungu aachwe rais atekeleze majukumu yake.
 
Nimeona mkeka wa baraza jipya la Mawaziri, unajiuliza uchaguzi umeisha au bado tupo Kwenye kampeni? Watu waliopo Kwenye baraza la Mawaziri ni watoto wa familia zilezile zinazoelekea kustaafu au zilizostaafu.

Hakuna ufanisi, ubunifu wala mikakati ndani ya baraza bali wamewekwa watu wakumsaidia Mhe. Rais kupiga kampeni kuelekea uchaguzi ujao.

Baraza la Mawaziri kwa kipindi hiki halipaswi kujazwa watu wa propaganda, inahitaji watu wakufikiri kuhusu maendeleo ya nchi yetu.

Baraza la sasa limerejesha fadhila Kwa timu Jk baada ya miaka mitano ya mateso. Naiona Tanzania maskini huko tuendako
Baraza lipi ambalo lilikuwa linajipya na ubunifu lile lakina kabudi
 
Nimeona mkeka wa baraza jipya la Mawaziri, unajiuliza uchaguzi umeisha au bado tupo Kwenye kampeni? Watu waliopo Kwenye baraza la Mawaziri ni watoto wa familia zilezile zinazoelekea kustaafu au zilizostaafu.

Hakuna ufanisi, ubunifu wala mikakati ndani ya baraza bali wamewekwa watu wakumsaidia Mhe. Rais kupiga kampeni kuelekea uchaguzi ujao.

Baraza la Mawaziri kwa kipindi hiki halipaswi kujazwa watu wa propaganda, inahitaji watu wakufikiri kuhusu maendeleo ya nchi yetu.

Baraza la sasa limerejesha fadhila Kwa timu Jk baada ya miaka mitano ya mateso. Naiona Tanzania maskini huko tuendako
Hagaya ni utopolo
Lukuvi ana shida gani?
Kabudi naye!
Hagaya ni utopolo
Lukuvi ana shida gani?
Kabudi naye!
Kwani wale ni waislamu au Zanzibar Sasa tunatesa sisi Wazibar na Waslamu, Rockefeller family bas wengine mtajiju 🤑🤑🤑🤑
 
On my view:

Magufuli alifanikiwa sana kwenye uchaguzi kutokana na ufanisi kila kona kutokana na mawaziri aliokuwa nao.

Ushindi wa CCM 2025 utakuwa determined sana na perfomance ya hili baraza.
Et RZ one Si aende Akasimamie Bagamoyo yao bandari ijengwe
 
Back
Top Bottom