Maoni na Ushauri kwa Joshua Nassari

Maoni na Ushauri kwa Joshua Nassari

Sioni hoja bali chuki na wivu! Laiti ungalikuwa umesoma management ungejua ni kwanini huyo mfukuzwa analalamika! Ndugai anakwenda kuabika mahakamani hata kama mahakama itambeba.
 
Kwa umakini wa safu ya uongozi wa CCM na watendaji wake ni dhahiri Nassari kama angekuwa huko basi angeshavuliwa uanachama mapema na Spika kupewa taarifa.

Pale bungeni kuna uongozi wa wabunge wa CCM ambao unafuatilia mienendo ya wabunge wake so utoro wa Nassari ungeshabainika mapema.

Tatizo la hivi vyama vidogo kila mtu ni kambale!
Prof.muhongo nae kafukuzwa!
 
Mnafiki na majinuni mwingine ambaye hata waliokuwa wanafunzi wake pale UDSM wanamshangaa kwa ukinyonga wake na kuukumbatia ujinga, ufisadi na udhalimu na yale aliyokuwa akiyafundisha darasani kuyakana.
Hiyo ni tabia ya wanasiasa wote......... Hata Mbowe atakapohamia CCM hali itakuwa hivyo hivyo atayakana yote aliyoyaamini akiwa Chadema!
 
Sioni hoja bali chuki na wivu! Laiti ungalikuwa umesoma management ungejua ni kwanini huyo mfukuzwa analalamika! Ndugai anakwenda kuabika mahakamani hata kama mahakama itambeba.
Uje na mrejesho hapa.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Iko siku labda hilo dish lako lililoyumba litakaa sawa ili uone upumbavu wako na kuukana, vinginevyo wapuuzi kama wewe ni hasara kubwa kwa Taifa vijibwa koko vya mwendawazimu wa Ikulu anayelisambaratisha Taifa.

Huyo ndio kiboko ya hama hama hapo Ufipa!
 
Iko siku labda hilo dish lako lililoyumba litakaa sawa ili uone upumbavu wako na kuukana, vinginevyo wapuuzi kama wewe ni hasara kubwa kwa Taifa vijibwa koko vya mwendawazimu wa Ikulu anayelisambaratisha Taifa.
Umeshapanic!
 
Wasalaam!! Kwa mara ya kwanza naomba nimpongeze Spika Ndugui na uongozi wote wa bunge kwa hatui hii waliyochukua. Baada ya kumsikiliza Nassari na sababu zake za kitoto za kutokuhudhuria vikao vitatu mfululizo nimemdharau sana. Sisi ni watanzania na wengi tumeajiriwa au tumejiajiri.

Ni boss gani atakayekuvumilia zaidi ya miezi mitatu eti mwanaume unasubiri mkeo ajifungue? Huwezi angalau kwenda kwazini hata siku mbili kwa mwezi kisa unasubiri mkeo ajifungue? Nassari ni daktari?

Nassari alishindwa nini hata kumtuma mama mkwe wake kumuangalizia mkewe wakati akiwa kalazwa ili angalau atimize sehemu ya majukumu yake? (Kwatamaduni zetu za kiafrica inakubaliwa). Hata Magufuli mama yake yuko ICU lakini anafanya kazi. Watanzania tuache kulea ujinga kama wa huyu anayejiita dogo janja.

Nassari angekuwa mfanyabiashara angekaa hosipitali miezi zaidi ya mitatu kisa mke anasubiri kujifungua mtoto? Ungekuta hizo biashara? Mbona tunajipa majukumu ambayo sio yakwetu? Spika Ndugai nakupa Kongole uko sahihi. Watanzania tuache kuendekeza upuuzi kisa mazoea ya kujiona sisi tu na kwasababu tuna machozi basi tuishi kwa mazoea. Nasema Noooooo!!!!

Juzi walikutana msibani na Mh. DC na Mzee Sarakikya bila aibu akatamka yuko nje kuwatafutia wananchi wake misaada. Sasa leo hizo sababu kazitoa wapi? Naomba afuatilie suala la Makonda na makontena yake. Na pia sio kazi yake kuomba misaada ya hii nchi kwa wahisani. Yeye anatakiwa kuiambia serikali matatizo ya wananchi wake serikali itekeleze na sio kuzurura na kupiga picha nje kwa matanuo yake.
Naomba hili liwe fundisho kwa wawakilishi ngazi zote.
Na sisi watanzania tuache kuwaonea huruma wapinzani kwa baadhi ya mambo yao ya kipuuzi ambayo yatatutia aibu. Kama wapinzania wanapigania sheria na wawe tayari kuhakikisha hata wao na wafuasi wao wanafuata sheria na taratibu nyingine za nchi ambazo zimetungwa kwa mujibu wa sheria na katiba yetu.
Asanteni Nawasilisha


Mh. Nassari alikumbwa na mtihani wa uzazi,mpaka sasa more 80% huku Marekani walienda kufanyà IVF,kwa natur,risk and cost ya IVF hukustahiki kumbeza hivi. Omba Mungu akuepushe na mtihani wa uzazi
 
Naunga mkono hoja. Spika kwa hili Yuko sahihi japo kitendo cha kumfukuza ubunge mbunge wake bila kumpa nakala ya barua ya kufukuzwa haiko poa...
 
Wasalaam!! Kwa mara ya kwanza naomba nimpongeze Spika Ndugui na uongozi wote wa bunge kwa hatui hii waliyochukua. Baada ya kumsikiliza Nassari na sababu zake za kitoto za kutokuhudhuria vikao vitatu mfululizo nimemdharau sana. Sisi ni watanzania na wengi tumeajiriwa au tumejiajiri.

Ni boss gani atakayekuvumilia zaidi ya miezi mitatu eti mwanaume unasubiri mkeo ajifungue? Huwezi angalau kwenda kwazini hata siku mbili kwa mwezi kisa unasubiri mkeo ajifungue? Nassari ni daktari?

Nassari alishindwa nini hata kumtuma mama mkwe wake kumuangalizia mkewe wakati akiwa kalazwa ili angalau atimize sehemu ya majukumu yake? (Kwatamaduni zetu za kiafrica inakubaliwa). Hata Magufuli mama yake yuko ICU lakini anafanya kazi. Watanzania tuache kulea ujinga kama wa huyu anayejiita dogo janja.

Nassari angekuwa mfanyabiashara angekaa hosipitali miezi zaidi ya mitatu kisa mke anasubiri kujifungua mtoto? Ungekuta hizo biashara? Mbona tunajipa majukumu ambayo sio yakwetu? Spika Ndugai nakupa Kongole uko sahihi. Watanzania tuache kuendekeza upuuzi kisa mazoea ya kujiona sisi tu na kwasababu tuna machozi basi tuishi kwa mazoea. Nasema Noooooo!!!!

Juzi walikutana msibani na Mh. DC na Mzee Sarakikya bila aibu akatamka yuko nje kuwatafutia wananchi wake misaada. Sasa leo hizo sababu kazitoa wapi? Naomba afuatilie suala la Makonda na makontena yake. Na pia sio kazi yake kuomba misaada ya hii nchi kwa wahisani. Yeye anatakiwa kuiambia serikali matatizo ya wananchi wake serikali itekeleze na sio kuzurura na kupiga picha nje kwa matanuo yake.
Naomba hili liwe fundisho kwa wawakilishi ngazi zote.
Na sisi watanzania tuache kuwaonea huruma wapinzani kwa baadhi ya mambo yao ya kipuuzi ambayo yatatutia aibu. Kama wapinzania wanapigania sheria na wawe tayari kuhakikisha hata wao na wafuasi wao wanafuata sheria na taratibu nyingine za nchi ambazo zimetungwa kwa mujibu wa sheria na katiba yetu.
Asanteni Nawasilisha
Kwanza nakupa pole kwakua hoja zako zimejaa utoto wenye fikra fupi.Kwanini unabeza matatizo ya mwenzio?Nilitegemea hoja ya msingi iwe kwenye uhalali wa taarifa alizotoa kwa speaker kutohudhuria bungeni ndio tuanzie hapo.Naamini ukikua utakuja kutambua utoto huu wa hoja otherwise naheshimu maoni yako.
 
..wewe inawezekana huna mke.

..au kama una mke, haujapitia MTIHANI wa kujaribu kupata mtoto na ikashindikana kwa muda mrefu.

..unazungumzia biashara?!! Kuna watu wanafilisika kwa mtihani wa kupata mtoto.

..mbona Spika alikaa nje ya nchi muda mrefu akijiuguza?
Usitetee ujinga mkuu...hata kufuata tu taratibu za kawaida za kibunge katika kushughulikia hiyo dharura nayo ilikua ngumu kwake? Huyu dogo kaaibisha walimu wake wote na walezi wake wote,wapiga kura wa Meru na hata viongozi wake wa kiroho. Jinga kabisa huyu kijana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasalaam!! Kwa mara ya kwanza naomba nimpongeze Spika Ndugui na uongozi wote wa bunge kwa hatui hii waliyochukua. Baada ya kumsikiliza Nassari na sababu zake za kitoto za kutokuhudhuria vikao vitatu mfululizo nimemdharau sana. Sisi ni watanzania na wengi tumeajiriwa au tumejiajiri.

Ni boss gani atakayekuvumilia zaidi ya miezi mitatu eti mwanaume unasubiri mkeo ajifungue? Huwezi angalau kwenda kwazini hata siku mbili kwa mwezi kisa unasubiri mkeo ajifungue? Nassari ni daktari?

Nassari alishindwa nini hata kumtuma mama mkwe wake kumuangalizia mkewe wakati akiwa kalazwa ili angalau atimize sehemu ya majukumu yake? (Kwatamaduni zetu za kiafrica inakubaliwa). Hata Magufuli mama yake yuko ICU lakini anafanya kazi. Watanzania tuache kulea ujinga kama wa huyu anayejiita dogo janja.

Nassari angekuwa mfanyabiashara angekaa hosipitali miezi zaidi ya mitatu kisa mke anasubiri kujifungua mtoto? Ungekuta hizo biashara? Mbona tunajipa majukumu ambayo sio yakwetu? Spika Ndugai nakupa Kongole uko sahihi. Watanzania tuache kuendekeza upuuzi kisa mazoea ya kujiona sisi tu na kwasababu tuna machozi basi tuishi kwa mazoea. Nasema Noooooo!!!!

Juzi walikutana msibani na Mh. DC na Mzee Sarakikya bila aibu akatamka yuko nje kuwatafutia wananchi wake misaada. Sasa leo hizo sababu kazitoa wapi? Naomba afuatilie suala la Makonda na makontena yake. Na pia sio kazi yake kuomba misaada ya hii nchi kwa wahisani. Yeye anatakiwa kuiambia serikali matatizo ya wananchi wake serikali itekeleze na sio kuzurura na kupiga picha nje kwa matanuo yake.
Naomba hili liwe fundisho kwa wawakilishi ngazi zote.
Na sisi watanzania tuache kuwaonea huruma wapinzani kwa baadhi ya mambo yao ya kipuuzi ambayo yatatutia aibu. Kama wapinzania wanapigania sheria na wawe tayari kuhakikisha hata wao na wafuasi wao wanafuata sheria na taratibu nyingine za nchi ambazo zimetungwa kwa mujibu wa sheria na katiba yetu.
Asanteni Nawasilisha
Yaani kama huyo dogo,ndio katoa sababu za kijinga kama hizo,basi hakufaa wala hafai hata kuwa VEO,mwenyekiti wa kijiji.
Ukae miezi mitatu bila kufika kazini,huku unakula mshahara bure,eti ni haki yako ya kikatiba! Shenzy type!!!,unasubiri mkeo ajifungue!
Hivi vitoto vya chadema vinatufanya waTZ kama mazezeta,tuliwatuma mkapiganie haki zetu,sasa vimefika huko,vimeona nchi inavyoliwa,vimeonja,sasa vimelewa havijuhi mbele wala nyuma,vinapambana tu,na vyenyewe vikusanye ukwasi fasta,vije vitambe kitaa.
Ruge hakuwa mwajiriwa serikalini,lakini kwa mambo aliyokuwa anafsnya,alikuwa ni mtumishi wa umma,kuriko wote,si Tundu lisu,Si kafulila,wala Matiko,
Alojitoa kwa Mali na hari asaidie wengine,
Lakini hivi vitoto,ili vijitoe,vinataka kwanza uvipe ubunge,viogeleee kwenye pesaaaa!
Harafu vinakuja kutuletea story,huku vimebana pua"nirikuwa nje nawatafutia maendeleo"
Yaani naomba kasirudi kabisa bungeni,
Shwaaaini mkubwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ccm hii inayoshangilia kupokea mafisadi walitimukia upinzani kurudi ccm au?
 
Back
Top Bottom