Maoni na Ushauri kwa Joshua Nassari

Maoni na Ushauri kwa Joshua Nassari

Kama ni kazi yao mbona wanalipwa posho za kukaa bungeni?!!!
Wanamshahara wa mwezi plus posho kila wanapokaa kwenye vikao..thats why walivyomkatia mshahara bwana yule akili zimemrudi anataka kurudi nyumbani.
 
Too late!!

Hili liwe funzo kwa wabunge wengine kuzingatia na kufuata taratibu na moongozo yao ili kuwanyima fursa walioshika mpini.


Tunataka kuona hii ikifanyika kwa wabunge wote "watoro" bila kujali itikadi zao, pasiwe na double standard.


Otherwise Nassari aubebe msalaba wake mwenyewe.
 
Kuna kijana wangu wa miezi sita nimemsomea hii post kacheka sana afu kasema uoooooongo mtakatifu . Sasa hivi niko hospital nimelazwa kwa kihoro
Kwa umakini wa safu ya uongozi wa CCM na watendaji wake ni dhahiri Nassari kama angekuwa huko basi angeshavuliwa uanachama mapema na Spika kupewa taarifa.

Pale bungeni kuna uongozi wa wabunge wa CCM ambao unafuatilia mienendo ya wabunge wake so utoro wa Nassari ungeshabainika mapema.

Tatizo la hivi vyama vidogo kila mtu ni kambale!

get well soon tl
 
Mkuu hebu wakati mwingine tuache siasa za kijinga!
Nimemsikiliza Nasari kiukweli inaumiza sana halafu kibaya zaidi alitoa taarifa!
Lakini hebu tujiulize kulikua kuna ubaya gani ndugai angemuita akamsikiliza?

Leo ndio nmegundua kumbe Nasari alikua kwenye changamoto ya ndoa toka 2014 hawajapata mtoto!
Walio kwenye ndoa wanajua stress za hilo jambo ndio maana huyu jombaaa alikua kimya sana ....lisikie tu kwa mtu!
Ndugai hilo analijua hivi kweli ameishiwa ubinadamu kiasi hicho?
msipende kutoa visingizio vya kitoto. Fanya hivyo kwenye ajira yako iwe kwa Mhindi ama popote pale kama utadumu.

waweza kufanya hivyo kama umejiajiri lakini siyo kama muajiliwa. Tatizo la wabunge wetu wanachukulia kazi ya ubunge kama umiliki wa kampuni sababu wanajua hata kama hawatachaguliwa miaka mitano ikiisha pensheni yao ni kubwa sana.

Acha kutetea uoza, iwe wabunge wa CCM ama UKAWA utoro ni utoro unatakiwa kukemewa na sisi wote.
 
Shangaa na yule muhongo ambaye hajatia mguu bungeni kwa kipindi kirefu lakini Kikaragosi cha dikteta ndugai hajatia neno.

Kwa umakini wa safu ya uongozi wa CCM na watendaji wake ni dhahiri Nassari kama angekuwa huko basi angeshavuliwa uanachama mapema na Spika kupewa taarifa.

Pale bungeni kuna uongozi wa wabunge wa CCM ambao unafuatilia mienendo ya wabunge wake so utoro wa Nassari ungeshabainika mapema.

Tatizo la hivi vyama vidogo kila mtu ni kambale!
 
Shangaa na yule muhongo ambaye hajatia mguu bungeni kwa kipindi kirefu lakini Kikaragosi cha dikteta ndugai hajatia neno.
Hahahaa......... Chadema mnajifanya nyie ni bongo bahati mbaya!
 
Jibu hoja acha kumbwela mbwela! Chadema bahati mbaya wakati huo huo mnaihofia kwenye uchaguzi huru na wa haki! Shurti kwa mgongo wa Tume FAKE ya uchaguzi na policcm AKA green guards! Akili za wapi hizi? Bila shaka za mtaa wa lumumba.

Hahahaa......... Chadema mnajifanya nyie ni bongo bahati mbaya!
 
Wasalaam!! Kwa mara ya kwanza naomba nimpongeze Spika Ndugui na uongozi wote wa bunge kwa hatui hii waliyochukua. Baada ya kumsikiliza Nassari na sababu zake za kitoto za kutokuhudhuria vikao vitatu mfululizo nimemdharau sana. Sisi ni watanzania na wengi tumeajiriwa au tumejiajiri.

Ni boss gani atakayekuvumilia zaidi ya miezi mitatu eti mwanaume unasubiri mkeo ajifungue? Huwezi angalau kwenda kwazini hata siku mbili kwa mwezi kisa unasubiri mkeo ajifungue? Nassari ni daktari?

Nassari alishindwa nini hata kumtuma mama mkwe wake kumuangalizia mkewe wakati akiwa kalazwa ili angalau atimize sehemu ya majukumu yake? (Kwatamaduni zetu za kiafrica inakubaliwa). Hata Magufuli mama yake yuko ICU lakini anafanya kazi. Watanzania tuache kulea ujinga kama wa huyu anayejiita dogo janja.

Nassari angekuwa mfanyabiashara angekaa hosipitali miezi zaidi ya mitatu kisa mke anasubiri kujifungua mtoto? Ungekuta hizo biashara? Mbona tunajipa majukumu ambayo sio yakwetu? Spika Ndugai nakupa Kongole uko sahihi. Watanzania tuache kuendekeza upuuzi kisa mazoea ya kujiona sisi tu na kwasababu tuna machozi basi tuishi kwa mazoea. Nasema Noooooo!!!!

Juzi walikutana msibani na Mh. DC na Mzee Sarakikya bila aibu akatamka yuko nje kuwatafutia wananchi wake misaada. Sasa leo hizo sababu kazitoa wapi? Naomba afuatilie suala la Makonda na makontena yake. Na pia sio kazi yake kuomba misaada ya hii nchi kwa wahisani. Yeye anatakiwa kuiambia serikali matatizo ya wananchi wake serikali itekeleze na sio kuzurura na kupiga picha nje kwa matanuo yake.
Naomba hili liwe fundisho kwa wawakilishi ngazi zote.
Na sisi watanzania tuache kuwaonea huruma wapinzani kwa baadhi ya mambo yao ya kipuuzi ambayo yatatutia aibu. Kama wapinzania wanapigania sheria na wawe tayari kuhakikisha hata wao na wafuasi wao wanafuata sheria na taratibu nyingine za nchi ambazo zimetungwa kwa mujibu wa sheria na katiba yetu.
Asanteni Nawasilisha
 
Kwa umakini wa safu ya uongozi wa CCM na watendaji wake ni dhahiri Nassari kama angekuwa huko basi angeshavuliwa uanachama mapema na Spika kupewa taarifa.

Pale bungeni kuna uongozi wa wabunge wa CCM ambao unafuatilia mienendo ya wabunge wake so utoro wa Nassari ungeshabainika mapema.

Tatizo la hivi vyama vidogo kila mtu ni kambale!
Sio ukweli acha unafiki mkuu Watanzania sio Wajinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu hoja acha kumbwela mbwela! Chadema bahati mbaya wakati huo huo mnaihofia kwenye uchaguzi huru na wa haki! Shurti kwa mgongo wa Tume FAKE ya uchaguzi na policcm AKA green guards! Akili za wapi hizi? Bila shaka za mtaa wa lumumba.
Hapo Ufipa itabidi muwe mnatoa semina elekezi kwa wabunge wenu!
 
Back
Top Bottom