johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,534
Mbwiga muhimu ni kutoa taarifa........ndio maana Tundu Antipas Lisu hayupo bungeni lakini bado ni mbunge hii ni kwa sababu taarifa zake zinajulikana!Unapenda sifa za kuanzisha nyuzi za kinyume eh !!!. Huko ccm ndiyo kuna wabunge hawana habari na vikao . Angalia vizuri hao wabunge/wafanyabiashara walioko ndani ya CCM mahudhurio yao.
Sent using Jamii Forums mobile app