Maoni na Ushauri kwa Joshua Nassari

Maoni na Ushauri kwa Joshua Nassari

Ngoja niangalie ratiba ya vikao vya bunge!

..Ni September.

..November.

..Januari.

..September anadai alihudhuria na alilipwa posho.

..November, hajaizungumzia. Hivyo inaelekea alikuwa "mtoro."

..Januari alitoa taarifa kwa SIMU na BARUA PEPE.

..Sasa kwanini Spika hakumuita na kumhoji?

..Kwanini tuingie GHARAMA kubwa kwa jambo hili?
 
Punguza Ujinga wewe, Yaaani afukuzwe Nassari Watanzania wengi tuwe na Huzuni?????? Thubutuuuuu, huyo ni Underdog kabisa taarifa zake mwisho Chamwino Mkuuu. Saaaana watasikitika ndugu zake na Wapumbavu wenzake wasiopenda Kuishi kwa Kuzingatia Sheria na Kanuni mbalimbali za Jamhuri. Huyo Nassari wako hata yeye hajaumia kwa taarifa yako wewe tu na kiherehere chako.
Amin amin nawaambieni huu ni mchezo.
Mtauona mwisho wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadanganya nini wakati juzikati Spika kampiga mkwara Dr Mahiga mbele ya mkuu wa nchi!

..sasa kwanini Spika asimpige mkwara na Nassari.

..this seem like Ndugai being Ndugai when dealing with opposition mps.

..wakati mwingine Spika hukosa utulivu anaposhughulikia masuala yanayowahusu wapinzani.
 
Wana CCM walioiiba mali za Chama, Mafisadi waliojazana humo, na wahujumu Uchumi. Walevi walioingia Bungeni wakiwa bwaksi, na washirikina waliokamatwa wakiwanga Bungeni.

Haki Sijaona aliyetimuliwa chamani kwa umakini wa hii safu ya kijani.
Waswahili husema Mganga hajigangi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Anzisha hiyo mada na eewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa umakini wa safu ya uongozi wa CCM na watendaji wake ni dhahiri Nassari kama angekuwa huko basi angeshavuliwa uanachama mapema na Spika kupewa taarifa.

Pale bungeni kuna uongozi wa wabunge wa CCM ambao unafuatilia mienendo ya wabunge wake so utoro wa Nassari ungeshabainika mapema.

Tatizo la hivi vyama vidogo kila mtu ni kambale!
Nasari na Joka la Makengeza-Tujadili.Je waliweza kumgusa joka?Kama hapana,kaa ukijua kuwa ..
 
..sasa kwanini Spika asimpige mkwara na Nassari.

..this seem like Ndugai being Ndugai. wakati mwingine Spika anakosa utulivu ktk maamuzi yake.
Na hiyo ndio hoja ya Mbowe na lisu kwamba busara ya Spika ilihitajika!
 
Kwa umakini wa safu ya uongozi wa CCM na watendaji wake ni dhahiri Nassari kama angekuwa huko basi angeshavuliwa uanachama mapema na Spika kupewa taarifa.

Pale bungeni kuna uongozi wa wabunge wa CCM ambao unafuatilia mienendo ya wabunge wake so utoro wa Nassari ungeshabainika mapema.

Tatizo la hivi vyama vidogo kila mtu ni kambale!
Acha upumbavu, hakuna chama kidogo wala kikubwa. Kama hivi unavyoita vidogo vilipata kura6+m na hicho unachodhani kikubwa kilipata8+m itasemaje vidogo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hiyo ndio hoja ya Mbowe na lisu kwamba busara ya Spika ilihitajika!

..hata anavyohangaishana na Halima Mdee. It looks juvenile, if you ask me.

..vikao vya Bunge Spika huviendesha kwa USHABIKI, halafu hali ya hewa ikichafuka anapandwa jazba na kuchukua uamuzi dhidi ya upande mmoja -- upinzani.

..tukiweka suala la Nassari pembeni, nadhani Spika Ndugai amepwaya ktk nafasi yake.
 
Yani wabunge ndiyo wanaifilisi hii nchi..mtu haji kazini lakini mamilioni yanafurika kwenye acount kama mshahara, wakati wengine ninsiku tatu tu.
 
..hata anavyohangaishana na Halima Mdee. It looks juvenile, if you ask me.

..vikao vya Bunge Spika huviendesha kwa USHABIKI, halafu hali ya hewa ikichafuka anapandwa jazba na kuchukua uamuzi dhidi ya upande mmoja -- upinzani.

..tukiweka suala la Nassari pembeni, nadhani Spika Ndugai amepwaya ktk nafasi yake.
..........na tukiweka vyama pembeni Zungu ameonyesha uwezo mkubwa wa kuliongoza bunge akikalia kiti!
 
Back
Top Bottom