Mbilikimo Mfupi
JF-Expert Member
- Nov 11, 2015
- 980
- 1,225
Leo Tarehe 30 Jan 25 umefanyika mnada wa kwanza wa zao la Korosho kwenye Ghala la Kuhifadhia Korosho na bei kutangazwa ni Tsh 3,167/= kwa kilo Moja.
Tunaendelea kuupiga mwingi.
Tunaendelea kuupiga mwingi.