nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,029
- 2,902
Wewe dogo mimi nchi hii ninaifahamu yote, huko uchaggani unakolingia napafahamu sana, ni pa kawaida tu mtu unamiliki robo eka halafu unasema we tajiri
Tunazifahamu nyumba nyingi za udongo huko machame na migomba iliyochoka mashina kama mguu wa mbuzi mbona hamuonyeshi ? Kawadanganye wasiofika kilimnjaro maisha ni magumu sana ule mkoa. Mbona husemi kuhusu mazezeta wa huko Kishumundu na old Moshi ? Hui mkia ni kaa la moto kuishi, ardhi haitoshi, chakula maeneo mengi ni shida tupu. Acha kujiinua bila sababu, maisha ya waafrika wote tunafanana tu.
Tunazifahamu nyumba nyingi za udongo huko machame na migomba iliyochoka mashina kama mguu wa mbuzi mbona hamuonyeshi ? Kawadanganye wasiofika kilimnjaro maisha ni magumu sana ule mkoa. Mbona husemi kuhusu mazezeta wa huko Kishumundu na old Moshi ? Hui mkia ni kaa la moto kuishi, ardhi haitoshi, chakula maeneo mengi ni shida tupu. Acha kujiinua bila sababu, maisha ya waafrika wote tunafanana tu.
Hahahaaaa, wachaga wasingekuwa huko unakoishi usingepata hata hyo akili iliyojaa usaha unayoringia kuandika utumbo humu. Zunguka tz yote ukikosa mchaga ujue hata mahali pa kula hapafai, wanakusaidieni kuondokana na upumbavu uliowajaa, wamehama kwao kwenda kutafuta maisha na wameweza wanawasokomezea maporini wwao wanaishi mjini, vijijini kwao mijumba ya kutisha.
Kwa ushauri tu dec 20-24 nenda segera na KIA uone mafuriko ya magari yakielekea uchagani utapata jibu