Manyara: Maji yarejeshwa katika shule ya msingi Endiamtu baada ya kuripotiwa kukosekana kwa miaka mitano

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,820
4,572
Maji yanapatikana hivi sasa shule ya msingi Endiamtu Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wanafunzi wanaishukuru Serikali Kwa kuwapatia maji ila vyombo vya habari Kwa kuripoti tukio hilo.

WANAFUNZI wa msingi Endiamtu, Kata ya Endiamtu, Mji mdogo wa Mirerani, Wilayani Simanjiro, Mkoani Manyara, walikabiliwa na ukosefu wa maji baada ya bomba lililokuwepo kukatwa kwa zaidi ya miaka mitano iliyopita.

Mwalimu mkuu wa shule hiyo Evetha Kyara, alisema shule hiyo yenye wanafunzi 894 Walikuwa wanakabiliwa na tatizo la ukosefu wa maji baada ya maji ya bomba yaliyokuwepo awali kukatwa.

1632822153476.png


PIA SOMA> Manyara: Shule yakosa maji kwa zaidi ya miaka mitano
 
Hapo hamna haja ya kuipongeza serikali.
Ni sawa na mtu akugonge kwa gari kisha ahudumie matibabu yako then umshukuru.
Serikali pesa wananunulia magari ya fahari. Mandege ya fahari.
Hivi kweli Tanzania tumefikia level ya viongozi mpaka ngazi ya wilaya kutembelea v8 za milioni mia 3-4?
2941864_Screenshot_20210925-164337_Twitter.jpg

2886742_IMG-20210715-WA0002.jpg
 
Back
Top Bottom