Maandalizi ya Uchaguzi? Diwani ajitolea kumlipa mwalimu anayejitolea na kutoa trekta lake kulima shamba la shule

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,815
4,565
1708356685671.png

DIWANI wa Kata ya Langai, wilayani Simanjiro, mkoani Manyara, Jackson Leskar Sipitieck (Mugabe), amejitolea kumlipa Sh. 100,000 mwalimu wa Shule ya Msingi Langai ambaye anafundisha kwa kujitolea.

Pia diwani huyo maarufu kama Mugabe, ametoa trekta lake na kuwalimia ekari 10 kwenye shamba la shule, ili wanafunzi wa Shule ya Msingi Langai wapate kula chakula cha mchana shuleni.

Sipitieck akizungumza kwenye Kikao cha Kamati ya Shule ya Msingi Langai, amesema analipa Sh. 100,000 kwa mwalimu huyo, lengo likiwa kumwezesha mwalimu huyo anayejitolea kufundisha shuleni hapo.

"Baada ya kusikia changamoto ya mwalimu ambaye hajaajiriwa na serikali anayejitolea kufundisha watoto wetu, nikaona niwezeshe hilo ili kumpa motisha ya kufundisha zaidi," amesema Sipitieck.
 

DIWANI wa Kata ya Langai, wilayani Simanjiro, mkoani Manyara, Jackson Leskar Sipitieck (Mugabe), amejitolea kumlipa Sh. 100,000 mwalimu wa Shule ya Msingi Langai ambaye anafundisha kwa kujitolea.

Pia diwani huyo maarufu kama Mugabe, ametoa trekta lake na kuwalimia ekari 10 kwenye shamba la shule, ili wanafunzi wa Shule ya Msingi Langai wapate kula chakula cha mchana shuleni.

Sipitieck akizungumza kwenye Kikao cha Kamati ya Shule ya Msingi Langai, amesema analipa Sh. 100,000 kwa mwalimu huyo, lengo likiwa kumwezesha mwalimu huyo anayejitolea kufundisha shuleni hapo.

"Baada ya kusikia changamoto ya mwalimu ambaye hajaajiriwa na serikali anayejitolea kufundisha watoto wetu, nikaona niwezeshe hilo ili kumpa motisha ya kufundisha zaidi," amesema Sipitieck.
Hahahahahha mbna juzi walikuwa wanalalmikiwa na. Wabunge kuwa posho zao Ni ndogo

Jehuyu anapata wapi

Udiwani una hell San dili zote za halmashauri wanakula wao
 

DIWANI wa Kata ya Langai, wilayani Simanjiro, mkoani Manyara, Jackson Leskar Sipitieck (Mugabe), amejitolea kumlipa Sh. 100,000 mwalimu wa Shule ya Msingi Langai ambaye anafundisha kwa kujitolea.

Pia diwani huyo maarufu kama Mugabe, ametoa trekta lake na kuwalimia ekari 10 kwenye shamba la shule, ili wanafunzi wa Shule ya Msingi Langai wapate kula chakula cha mchana shuleni.

Sipitieck akizungumza kwenye Kikao cha Kamati ya Shule ya Msingi Langai, amesema analipa Sh. 100,000 kwa mwalimu huyo, lengo likiwa kumwezesha mwalimu huyo anayejitolea kufundisha shuleni hapo.

"Baada ya kusikia changamoto ya mwalimu ambaye hajaajiriwa na serikali anayejitolea kufundisha watoto wetu, nikaona niwezeshe hilo ili kumpa motisha ya kufundisha zaidi," amesema Sipitieck.
Hapo ndio maccm wanaona watanzania kuwa ni wajinga. Miaka mitano ya udiwani wake hakushinikiza serikali na halimashauri kutenga budget ya kuajiri walimu alikuwa bize na kugawana mapato ya halimashauri. Sasa anataka kutowa change kama njia ya kuwadanganya watu.
 

DIWANI wa Kata ya Langai, wilayani Simanjiro, mkoani Manyara, Jackson Leskar Sipitieck (Mugabe), amejitolea kumlipa Sh. 100,000 mwalimu wa Shule ya Msingi Langai ambaye anafundisha kwa kujitolea.

Pia diwani huyo maarufu kama Mugabe, ametoa trekta lake na kuwalimia ekari 10 kwenye shamba la shule, ili wanafunzi wa Shule ya Msingi Langai wapate kula chakula cha mchana shuleni.

Sipitieck akizungumza kwenye Kikao cha Kamati ya Shule ya Msingi Langai, amesema analipa Sh. 100,000 kwa mwalimu huyo, lengo likiwa kumwezesha mwalimu huyo anayejitolea kufundisha shuleni hapo.

"Baada ya kusikia changamoto ya mwalimu ambaye hajaajiriwa na serikali anayejitolea kufundisha watoto wetu, nikaona niwezeshe hilo ili kumpa motisha ya kufundisha zaidi," amesema Sipitieck.
Asante kwa taarifa.
Ila kwa namna mojawapo unaweza kuona ujinga na matatizo yanayosababishwa na Serikali yetu hii.
Mbunge, Mkuubwa Mkoa na Mhuu wa Wilaya.
Halmashauri na Tamisemi wote Hawa wanapokea mishahara na hawajaliona hili!

Pesa zinapigwa kila kona na huko bungeni wanatoa majawabu ya hovyo hovyo mno.
WaTanzania tuendelee kulala usingizi wa pono kwa Serikali ya CCM!! HAPANA.
 
Back
Top Bottom