Manumba alazwa ICU Aga Khan

Hivi huyu ndiye alie shiriki mchezo ule mchafu wa kutaka kumbambikia toto wa Mengi madawa ya kulevya!!
 
Ni wakati wake muafaka kuwaomba msamaha wote aliowabambika kesi, aliowatesa, na walio jela bila hatia. Pia atubu kwa kutowasaidia ndugu wa Mwangosi kupata haki yao, Dr Ulimboka, n.k Hatopata nafasi hiyo akifika ulimwengu wa roho !
 
Mlaria mpaka kutibiwa India. Kwani India kuna ugonjwa wa malaria. Pona haraka Manumba.
 
Albadir ya ponda iyoo..!chezea maruhani wewe..pole Manumba.Only Jesus Christ can save you..!
 
'action and reaction are equal but opposite'- zetu dua!
 
 
adui yako muumbee apone ili unapofanikiwa ajionee kwa macho

Ni uchovu wa uchunguzi wa mauaji ya Mwangosi,utekwaji wa Dr. Ulimboka na the like na mahitaji ya ripoti za hizo chunguzi pia nayo inaweza kuleta malaria Kali
 
Hakuna anayemwombea mtu augua,apate ajali na afe. We sympathize with Manumba's ill health and we pray to God Almighty so that he recovers soon.

Ila nintaka tu kusema kuwa hawa Wakuu wateule wa nchi hii wanapokuwa na afya zao wanakuwa JEURI SANA!Jeuri au kibri ya uzima kiasi kwamba wanawaona Watanzania kama hawana haki ya kuishi katika nchi hii. Matukio yaliyowahi kufanywa na kina RPC Kamuhanda wa Iringa, X-RPC wa Dsm Bwana Zombie na vituko vinavyoendelezwa sasa na kina KOVA,IGP Mwema na viongozi wengine wa Polisi hapa nchini.

Kwa kweli Jeshi la Polisi na viongozi wao wanapashwa kubadilika sasa.
 
Mnashauri afuate nani kati ya mwema machoni na Mokova. Maana huu kwangu mwaka wa sala tu kwa many'ang'anyi wa haki za binadamu.
Yaani kabla awajafa, wateseke ili adhabu yao ianzie hahapa hapa duniani.
Ning'ekuwa na uwezo ning'emponya Vengu nimweke moja wapo
 
Malaria gani hiyo ya kumlaza mtu ICU?.
Mimi nashangaa tu hao "wadudu" 500! Nakumbuka ni hapo hapo Aga Khani waliweza kuona wadudu wa idadi hiyo kwa Kamanda ZZK!

Kama hizo idadi za wadudu ni za kweli na kama idadi ya wadudu ni proportion na ukuwa wa malaria then naweza kuelewa mtu akiwa mahututi. Maana ukiwa na wadudu hata 3 tu, huwa wanasumbua sana mwili sasa ikiwa 500 ni balaa!
 
 
 
Akipona nahesabu siku za maisha ya Jamii forum. Utasikia kwa habari za kiintelejensia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…