Manumba alazwa ICU Aga Khan

Manumba alazwa ICU Aga Khan

Maisha na uhai wa mwanadamu ni zawadi toka kwa mungu,mwanadamu hana haki ya kumuombea mwezie kifo no matter what,Pona haraka,familia yako inakuhitaji,haya yanayosemwa ni sehemu tu ya matatizo ya wanadamu katika maisha yetu ya kila siku,hakuna aliyemkamilifu,mungu pekee ndiye anaetujua sisi waja wake.
 
Wakati Mwakyembe anaumwa walikuwa wanatoa taarifa tatanishi, na wakapeleka jalada la kesi kwa DPP wakimshitaki Mh. Samuel Sitta kwa kutamka kwamba Mh. Mwakyembe alilishwa sumu. Ila kwa kuumwa kwake, Mungu apewe nafasi afikiri kama matamishi yake niyakusimamia haki au la.
 
manumba+jk.jpg
Rais Jakaya Kikwete akiongozana na Inspekta Jenerali wa Polisi katika Hospitali ya Aga Khan ya jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumlaki Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) Kamishna Robert Manumba aliyelazwa hospitalini hapo.

HALI ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wa Jeshi la Polisi (DCI), Robert Manumba bado ni tete na jana Rais Jakaya Kikwete alikwenda tena ikiwa ni mara ya pili mfululizo katika Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam alikolazwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU), kumjulia hali.


Source: Gazeti la Mwananchi
 
Polen ndg jamaa na marafik, kama Jk alirud kwa mara ya pil ndan ya muda mfup, bas inawezakan hal yake imeendelea kuwa mbaya

Tiba chunguz iendelee, mana ofis yake ina maadui wengi hasa hasa ambao hawakutendewa haki, kwahiyo kuna uwezekano yasiwe maradh ya kawaida.!!
 
Go Manumba go! Mwangosi will be happy to acclaim and receive you thither. Go Manumba and leave everything behind. Go and become a lesson that every soul will one day die. Kul nafsi dhalikatul mauti.
isiitukanishe dini ya watu hakuna imani ya dini inaemwombea mgonjwa kufa wala marehemu kwenda motoni ndo maana baada kifo ni R.I.P
 
Wewe hujui dini na huna unalosema hapa. Muhammad alisema nini kuhusiana na wanaopinga dini yake na jinsi ya kuwachinja bila huruma. Hapa ndipo unaona kuwa hakuna dini isiyomwombea marehemu kwenda motoni? Kwani ni dini gani nimetukanishe kama tutaacha ushabiki wa kijuha na kutojua hata hiyo dini? Au ni kwa vile nimetumia maneno ya kiarabu ambayo kwako ni uislam? Shame on you rudi madrassat ukasome kama siyo kukariri mwanangu Jaim.Samahani baba yenu huwa natumia lugha za kuudhi ili mchukie mwende shule muongee vitu vinavyoeleweka kama mimi baba yenu.
Wako Sayyidina Father of All Radhiallahu Annuhu.
isiitukanishe dini ya watu hakuna imani ya dini inaemwombea mgonjwa kufa wala marehemu kwenda motoni ndo maana baada kifo ni R.I.P
 
Go Manumba go! Mwangosi will be happy to acclaim and receive you thither. Go Manumba and leave everything behind. Go and become a lesson that every soul will one day die. Kul nafsi dhalikatul mauti.

We mshikaji wangu wewe sometimes duh! yaani uko serious kabisa
 
Kabla ya kumpa mgonjwa barua ya rufaa jopo la madaktari hukaa ili kujadili kama huyo mgonjwa atabenefit kwa kumpaa rufaa....
 
Back
Top Bottom