tunataka kujua kwa nini Kikwete amtembelee mara kwa mara??kuna siri gani hapo?
Kumuombea binadamu mwenzio kifo ni ushetani
Nyie magwanda hamna tofauti na alqaeda
kul nafsi dhalikatul mauti hili ni andika ktk kitabu cha kiislam watu hapa huwa naona ukiweka maanandiko yahusuanayo na dini wanakushambulia wewe na dini yako nadhani umenielewa.wapi ameweka swala la dini?
Go Manumba go! Mwangosi will be happy to acclaim and receive you thither. Go Manumba and leave everything behind. Go and become a lesson that every soul will one day die. Kul nafsi dhalikatul mauti.
Kumuombea binadamu mwenzio kifo ni ushetani
Nyie magwanda hamna tofauti na alqaeda
kwa taarifa yako mie ni wa Simba wa Kabila la Yuda kweli naijua na imeniweka huru na kama haitoshi nimeiona njia na naifuata! sema jingine! au nikuongeze aya nyingine nini? usimwache mtu muovu aishi na wala usililie msiba wake! upo hapo?
Mungu amsaidie apone haraka, kikubwa ampe Bwana Yesu maisha Yake.may i beg to differ Father of All cuz imeandikwa "wapendeni adui zenu watendeeni mema wale wanaowaudhi"
Ahahahah..we mkuu hatari sana.Wewe hujui dini na huna unalosema hapa. Muhammad alisema nini kuhusiana na wanaopinga dini yake na jinsi ya kuwachinja bila huruma. Hapa ndipo unaona kuwa hakuna dini isiyomwombea marehemu kwenda motoni? Kwani ni dini gani nimetukanishe kama tutaacha ushabiki wa kijuha na kutojua hata hiyo dini? Au ni kwa vile nimetumia maneno ya kiarabu ambayo kwako ni uislam? Shame on you rudi madrassat ukasome kama siyo kukariri mwanangu Jaim.Samahani baba yenu huwa natumia lugha za kuudhi ili mchukie mwende shule muongee vitu vinavyoeleweka kama mimi baba yenu.
Wako Sayyidina Father of All Radhiallahu Annuhu.
Elungata acha uongo na vitisho vya kitoto. Umejuaje kuwa mimi ni christian? Kwa taarifa yako mie siyo dini yoyote ya kimamboleo. Simuombei kifo kwa vile anafanya kazi CCM au wapi. Nisemacho ni kwamba polisi wanaoua watu kama wadudu wakifa sawa tu. Mabosi wao na serikali inayohalalisha ukatili huu wakifa poa. Kama wewe ni mmojawapo uliye tu. Unaulizia elimu yangu ili ikusaidie nini? Kama ni kusoma nimesoma tu ndani ya Bongo na ng'ambo so what?
kama mzee Gama