Umkondo wa Swize
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 282
- 90
bora akabidhi ofisi akiwa bado anapumulia mashine ili Taifa lisiingie hasara isiyo kuwa na ulazima
may almight god give your blessing to make him recover soon.
We appriciate that you can do something to him and for others who are suffering in different ways.
We bag that and consider our prayer will be considered v/s all name we usuall call you.
Amin.
ungetumia neno mungu wangu tofauti na wakwako nisingekujibu lkn kwa kuwa umetumia neno mungu wako sie wa kwetu, maana yake nashawishika kuisema ile kweli kwa niaba ya wengine. Uislam na ukristo yule wanaye muabudu huimiza uovu kulipwa kwa wema sasa kama ww hutokani na dini hizo na unakiu ya kuijua kweli ili hiyo kweli ikuweke huru. Jiunge na moja ya dini hizo ili shetwaini akae mbali nawe.
Habari za ndani za siri kabisa kutoka Agakhan Hospital zilizovuja na kunifikia asubuhi hii zinasema hivi, nanukuu.
''1/He is treated as case of Severe Malaria with high parasitemia(500ring form/200WBC) and AKI.
2/Blood parasites for Malaria were decreased to significant number after started iv medication.
3/Kidney function was shut off to almost 70% of it function.
4/He was on Coma state for more than 72hour, with GCS 6/15 up to now.(He was admitted at Agakhan with Unconscious state, GCS 8/15)
5/Since admission he was on Oxygen with ventillation machine full dependent, Dialysis on and off.
4/Pupils reaction to light......''
*Wataalamu wa afya hapa JF embu watufafanulie kidogo hayo maalezo tuelewe vizuri.
Why not kama wao wanaua watu kama wadudu? Let them die may be other goons will learn a lesson. I will be happy to hear that this boss of killers is dead. Mie nawakilisha watu kama Mwangosi. Sina jema na hawa polisi hata wakifa wakubwa zao wote I don't care. Sina huruma hata na serikali hata wafe wakubwa zake wote it won't move me. Wakipungua tunapata ahueni. Nadhani watu wengi wanaogopa kuonyesha hisia zao ima tokana na woga au unafiki.
Go Manumba go! Mwangosi will be happy to acclaim and receive you thither. Go Manumba and leave everything behind. Go and become a lesson that every soul will one day die. Kul nafsi dhalikatul mauti.
... alipigwa bomu ... lazima ningekula platemoja na kinara wa.. Elungata, unajifanya kutokukumbuka maneno kama ,kitu chenye ncha kali, etc ya mwanzo kutolewa juu ya kifo cha mwangos. yalikuwa na maana gani? kesi inaendeleaje? eti ule platemoja na kinara wa mgomo. yap, ni rahisi kwasababu huwezi kui-handle serikali inayolalamikiwa. what an easy solution to our hospital problems! yaani watu sehem za kazi wanagoma halafu sis wananchi wengine tunawaua viongoz wa migomo! akili za ajabu!
Kumuombea binadamu mwenzio kifo ni ushetaniacha atangulie kwanza na hayo malaria
Father of all mimi ni shabiki wako. Hawa jamaa walikuwa tayari kutumia resource za watz ipasavyo kuchunguza issue ya Kamanda Barlow kwa haraka na kuimaliza lakini issue ya Dr Mwakyembe, Mwangosi, Prof Mwaikusa na Dr wa jumuiya ya madaktari wanazipotezea. Wanaleta ushabiki wa kisiasa kila mahali. What goes around comes around!
Akipandacho mtu ndicho atakachovuna!
Ukiua kisiasa utakufa kisiasa!
Leo hii familia za wenzetu zimeacha mayatima na wajane kwasababu mnazozijua wenyewe halafu nyie mkiugua mnataka tuwaombee???
Angalia watoto wa Mwangosi, Aliyeuwawa na Ditopile, Prof Mwaikusa wanalia usiku na mchana kwasababu ya hujuma na uchumia tumbo wenu.
Hii 2013 father of all hakuna kumremba mtu, ni mwaka wa uwazi na ukweli!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Wewe hujui dini na huna unalosema hapa. Muhammad alisema nini kuhusiana na wanaopinga dini yake na jinsi ya kuwachinja bila huruma. Hapa ndipo unaona kuwa hakuna dini isiyomwombea marehemu kwenda motoni? Kwani ni dini gani nimetukanishe kama tutaacha ushabiki wa kijuha na kutojua hata hiyo dini? Au ni kwa vile nimetumia maneno ya kiarabu ambayo kwako ni uislam? Shame on you rudi madrassat ukasome kama siyo kukariri mwanangu Jaim.Samahani baba yenu huwa natumia lugha za kuudhi ili mchukie mwende shule muongee vitu vinavyoeleweka kama mimi baba yenu.
Wako Sayyidina Father of All Radhiallahu Annuhu.
ni kweli unachokisema!Kumuombea binadamu mwenzio kifo ni ushetani
Nyie magwanda hamna tofauti na alqaeda
Father of all mimi ni shabiki wako. Hawa jamaa walikuwa tayari kutumia resource za watz ipasavyo kuchunguza issue ya Kamanda Barlow kwa haraka na kuimaliza lakini issue ya Dr Mwakyembe, Mwangosi, Prof Mwaikusa na Dr wa jumuiya ya madaktari wanazipotezea. Wanaleta ushabiki wa kisiasa kila mahali. What goes around comes around!
Akipandacho mtu ndicho atakachovuna!
Ukiua kisiasa utakufa kisiasa!
Leo hii familia za wenzetu zimeacha mayatima na wajane kwasababu mnazozijua wenyewe halafu nyie mkiugua mnataka tuwaombee???
Angalia watoto wa Mwangosi, Aliyeuwawa na Ditopile, Prof Mwaikusa wanalia usiku na mchana kwasababu ya hujuma na uchumia tumbo wenu.
Hii 2013 father of all hakuna kumremba mtu, ni mwaka wa uwazi na ukweli!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
for those having a 'truth meter' just weigh these two comments and tell who is wrong! ...au ndio wahenga walisema "mkuki kwa nguruwe?"may i beg to differ Father of All cuz imeandikwa "wapendeni adui zenu watendeeni mema wale wanaowaudhi"
isiitukanishe dini ya watu hakuna imani ya dini inaemwombea mgonjwa kufa wala marehemu kwenda motoni ndo maana baada kifo ni R.I.P
Mmetoa Siri za mgonjwa.....kwa uelewa wangu case ya aina hii ni relevant na Huyo mgonjwa and it is leading to brain damage ...if in the next 24 hrs to 48 hrs he will not be able to be conscious ...