lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,607
- 2,062
anaponzwa na ushabiki wakati hata hao viongozi anaowashabikia hawawezi kufurahia binadamu mwenzao kuteseka kwa maradhi. Mungu wetu ni mwenye upendo. huwezi kusema unampenda MUNGU usiyemuona huku unamchukia jirani yako.huyo anatumia imani ya cuf ya jino kwa jino sijui kama cuf nayo ishakuwa dini?