Manumba alazwa ICU Aga Khan

Manumba alazwa ICU Aga Khan

Damu ya Mwangosi itawaita wengi kuzimu
 
Habari za ndani za siri kabisa kutoka Agakhan Hospital zilizovuja na kunifikia asubuhi hii zinasema hivi, nanukuu.

''1/He is treated as case of Severe Malaria with high parasitemia(500ring form/200WBC) and AKI.

2/Blood parasites for Malaria were decreased to significant number after started iv medication.

3/Kidney function was shut off to almost 70% of it function.

4/He was on Coma state for more than 72hour, with GCS 6/15 up to now.(He was admitted at Agakhan with Unconscious state, GCS 8/15)

5/Since admission he was on Oxygen with ventillation machine full dependent, Dialysis on and off.

4/Pupils reaction to light......''

*Wataalamu wa afya hapa JF embu watufafanulie kidogo hayo maalezo tuelewe vizuri.
 
Mh,mbona hawampeleka nje kama hosea???duh wakurugenzi wameingiliwa hapa manumba kule hosea,imbombo ngafu!!!
 
Father of All you are verry correct!wanajifanya wana uchungu na madhulumati wa roho za watu,wamesababisha familia ngapi kubaki yatima?hata Zombe akifa utasikia yanasema alikuwa mwema,mchapakazi,mwadilifu mungu amuweke pema peponi!watu wenye fikra finyu huweka roho ktk madaraja,kwangu akifa huyo ama boss wake na ombaomba kule Namanyere wote ni sawa
 
Naamini kwenye Job Description ya Raisi, hakuna kipengele cha kila siku kuacha kazi na kutembelea mgojwa. Inawezekana kiubinadamu ukafanya hivyo, lakini lisiwe ndio moja ya majukumu ya raisi. Vinginevyo kumbe uraisi ni kazi rahisi kiasi hicho!!!!!????

mshaurini na dr wa ukweli awe anatafuta mda anatembelea wagonjwa na kuwafariji na wafiwa pia,humu duniani tunapita tu,hata uwe unavaa magwanda ipo siku nawe utakufa.unapokua mzima unajiona una immunity from death na kuanza kukejeli walio mahututi jua hata wewe utafuata njia hiyo.kwa kometi za kuombea watu wafe sijui utajisiaje nawe ukiwa umekufa alafu watu waanze kuzisoma .
 
Habari za ndani za siri kabisa kutoka Agakhan Hospital zilizovuja na kunifikia asubuhi hii zinasema hivi, nanukuu.

''1/He is treated as case of Severe Malaria with high parasitemia(500ring form/200WBC) and AKI.

2/Blood parasites for Malaria were decreased to significant number after started iv medication.

3/Kidney function was shut off to almost 70% of it function.

4/He was on Coma state for more than 72hour, with GCS 6/15 up to now.(He was admitted at Agakhan with Unconscious state, GCS 8/15)

5/Since admission he was on Oxygen with ventillation machine full dependent, Dialysis on and off.

4/Pupils reaction to light......''

*Wataalamu wa afya hapa JF embu watufafanulie kidogo hayo maalezo tuelewe vizuri.

Mmetoa Siri za mgonjwa.....kwa uelewa wangu case ya aina hii ni relevant na Huyo mgonjwa and it is leading to brain damage ...if in the next 24 hrs to 48 hrs he will not be able to be conscious ...
 
Brain damage is clinically regarded as death...though using life support machine the heart function can be maintained for some time as long as kins wish.....General Sharon have been in life support for five years ....for the nature of parasites in blood and other ARD...it's not possible to keep that support long if not cured first
 
Kabla ya kumpa mgonjwa barua ya rufaa jopo la madaktari hukaa ili kujadili kama huyo mgonjwa atabenefit kwa kumpaa rufaa....

Abunge huwa wanapiga simu kuomba rufaa,wakienda wakute barua zao ziko tayari,wanapeleka ofisi Bunge Dar wanavuta hela kibao wanaondoka na wapambe wao!hilo jopo ni kweli ila kwa viongozi hakuna jopo ni Dr Mmoja bingwa tu aki sign unaenda.....(Kwa pesa serikali)..kwa watu binafsi pia bingwa anakushauri kama una uwezo usogee pande zile
 
kwani wewe una shule gani mwezetu.je dhamira haikusuti kumwombea mtu tena your fellow christian mauti.kwasababu tu anafanyia kazi kwenye serikali ya ccm.
Huh..wonder shall never end...yaani umeendekeza uchadema na siasa hadi utu umekutoka umekuwa na roho mbaya na ya kikatili hadi unafikia kuombea wagonjwa wafe.
Kha...!I feel sorry and ashamed to share the same planet with people like you.

Mimi naona wewe ndiyo mnafiki, na hao unaowatetea ndiyo wanafiki kwa kutekeleza amri za kinafiki toka kwa viongozi wanafiki. Kama wangekuwa vipenzi vya watu kauli za kishezi kama hizo wasingezitoa. Mimi naona hakuna u CDM ua U CCM katika issue hii zaidi ya watu kuwahukumu kutokana na hisia zao.
 
Elungata acha uongo na vitisho vya kitoto. Umejuaje kuwa mimi ni christian? Kwa taarifa yako mie siyo dini yoyote ya kimamboleo. Simuombei kifo kwa vile anafanya kazi CCM au wapi. Nisemacho ni kwamba polisi wanaoua watu kama wadudu wakifa sawa tu. Mabosi wao na serikali inayohalalisha ukatili huu wakifa poa. Kama wewe ni mmojawapo uliye tu. Unaulizia elimu yangu ili ikusaidie nini? Kama ni kusoma nimesoma tu ndani ya Bongo na ng'ambo so what?

sasa huyo robert manumba kamuua nani?wewe si ni mtu mzima kabisa tena unajiita babalao .lakini unaongea utumbo kabisa yani.au kwasababu unajua hautambuliki?even so ,maandiko yako yanaonyesha you are sick in the heard,UENDE UKAONANE NA DOCTOR before it is too late
 
Nenda kalale maana hujui usemacho. Hivi mbwa akiiba anayeshitakiwa ni mbwa au mwenye mbwa? Kama una angalau chembe ya uelewa sasa utanielewa. Kwangu polisi ni kama mbwa na waliowafuga ni wakubwa zao. Manumba hawezi kukwepa kuwajibishwa. Afe tu.
sasa huyo robert manumba kamuua nani?wewe si ni mtu mzima kabisa tena unajiita babalao .lakini unaongea utumbo kabisa yani.au kwasababu unajua hautambuliki?even so ,maandiko yako yanaonyesha you are sick in the heard,UENDE UKAONANE NA DOCTOR before it is too late
 
Brain damage is clinically regarded as death...though using life support machine the heart function can be maintained for some time as long as kins wish.....General Sharon have been in life support for five years ....for the nature of parasites in blood and other ARD...it's not possible to keep that support long if not cured first

aeril sharon had a stroke which led to some blood versel to burst in the head and lead to brain damage which put him into coma.the stroke was the result of blood clot and not parasite.
 
Mmetoa Siri za mgonjwa.....kwa uelewa wangu case ya aina hii ni relevant na Huyo mgonjwa and it is leading to brain damage ...if in the next 24 hrs to 48 hrs he will not be able to be conscious ...
Mtaalamu sijakuelewa vizuri embu jaribu kufafanua vizuri zaidi hasa lugha.

*Kuhusu siri za wagonjwa sio issue hapa JF, kwani we dare to speak openly. Why siri za wagonjwa tu? Mbona siri za serikali, mahakama, Bunge, Mke, mume, misikitini, kanisani, vyama zinamwaga tu hapa
 
sasa huyo robert manumba kamuua nani?wewe si ni mtu mzima kabisa tena unajiita babalao .lakini unaongea utumbo kabisa yani.au kwasababu unajua hautambuliki?even so ,maandiko yako yanaonyesha you are sick in the heard,UENDE UKAONANE NA DOCTOR before it is too late

Inaonekana ni mchanga sana katika mambo ya intelejensia, siyo lazima aue yeye. Anaweza ku enginia mauaji bila kwenda front unalijua hilo??? Mipango mingapi miovu inafanyika mbele ya macho yake??? Unajua madawa ya kulevya yanayokamatwa yanapelekwa wapi???

Jambl usilolijua achana nalo ni kama usiku wa giza kwako. Manumba mimi sioni usafi wake na zaidi ya yote naomba mapenzi ya Mungu aliye hai yatendeke lakini ukweli ndiyo huo.

Ieleweke hata Yesu aliomba kikombe kile kimpitie mbali lakini mwishoni akasema si mapenzi yangu bali yako ndiyo atendeke na kwa mujibu wa Bible alikufa kifo cha laana pale msalabani, kali kadhalika katika hali aliyonayo Manumba mapenzi ya Mungu yatendeke kama ni kufa au laaaah yote ni mapenzi yake.
 
Liwalo na liwe. Utendaji kazi wake hauna tija kwa wananchi. Hata akifa hakuna cha kupoteza !
 
Nenda kalale maana hujui usemacho. Hivi mbwa akiiba anayeshitakiwa ni mbwa au mwenye mbwa? Kama una angalau chembe ya uelewa sasa utanielewa. Kwangu polisi ni kama mbwa na waliowafuga ni wakubwa zao. Manumba hawezi kukwepa kuwajibishwa. Afe tu.

wewe umepotoka babalao.yani hata kwajina lako la bandia haiviti kuandika unayoandika.
Unajilet down sana asee,badilika usiwe mkereketwa wa siasa hadi kuloose logic.
 
Back
Top Bottom