Unajua mi nakupenda kwa kuwa uko stable na hujawahi kuwa na kashfa humu....! Endelea kuwa imara dumisha penzi letu baadae tumpate Ki Big G
Hahahaaaa
Hahahaaa hapo unaanza kuja sawasawa Vin Diesel
Ok sawa ngoja waje watoe uthibitisho
Huyu ndie Kipipi aka peremende....
Hata mie nimekumiss RAFIKI YANGU Vin Diesel.
a.k.a Ki-sweet
a.k.a Ki-candy
a.k.a Kikondoo cha Mama Mchungaji
Ukiona mwingine ujue fojare! lol
Ok Byeeeee!
Heheheehee Asnam hujambo shem wangu?kweli humu kuna vitimbi,ila kubali ombi bhana kijana Erickb52amejikaza kufunguka ukute amekunywa konyagi kuondoa aibu.
Sasa Mungi wakati akipiga sarakasi au kukuraruka si lazima awe kwenye kitu laini asije umia ndo maana tunafanyia kitandani na hata mlimani huwa tunaenda na godoro ili asiumie
Erickb52 namuepusha Mamndenyi asije umia akigundua kuwa sweetlady bado hajatoka kwenye moyo wa Vin Diesel
Mungi acha majungu basi au nimwambie Lily Flower mambo yako aise