Tafadhali naomba unitafutie marejesho.....ukimuona huko aliko mwambie PM zihusike....
Hahahaaaaaa mi sijui wewe na huyo uliyenae mi ninachojua ni kwamba Mamndenyi bado hajakukubali hadi utoe maelezo ya kutosha kwa hao MA-EX wako
Naomba umsake mwenyewe mie kuwekwa kitimoto naogopa Vin Diesel, Filipo akijua itakuaje?
Filipo yupo yupo tu kashika pembe....wala usimuogope.
Vin Diesel kama hivyo sawa, hapa tutakwenda sawa, pengine 2013 roho yangu itapona.
haipo nimemwambia kesi iende kwa wazazi wake kaleta mbwela mbwela.
anajua jinsi alivyomchukua mke wa mtu maana ndio zake
anajua jinsi alivyomchukua mke wa mtu maana ndio zake
Unataka akuachie Lily Flower ?kuna jambo nataka tutete kidogo ila Mungi asijue
Heheheheeee hapo tu ndio umeongea la maana Mr RockyVin Diesel ndoa yako bado haijatengemaa muulize Mamndenyi kama roho yake imetulia au bado