Hata kama umenichoka au umenikinai huwezi nidhalilisha namna hii mbele ya hadhara jamani my dear nini mbaya na weweDena Amsi usisome anayosema Erickb52 na Vin Diesel Wana majungu hayo balaaMimi na wewe ni dam dam na nakupenda na nimekumiss sana aise
Nampenda mume wangu ila.............
Twende chemba kidogo Erick
Achana nae huyo atakupotezea mda kicheche sana huyo. Hujambo lakini
mwende wapi?
Mungi niko na sweetlady hapa anasema amechoka hawezi hata kutype mazoezi ya leo yalikuwa makali sana
Vin Diesel tatizo unajitetea sana kuwa wewe sio penda penda wakati kuna Mamndenyi na bado unamfuatilia sweetlady
Erickb52 naona hujakama uzi wangu kuwa wewe ndo mwenyekiti wa chama cha penda penda
nitonye ukishaanza kufukuzia tuu unaingizwa kwenye chama
Dena Amsi usisome anayosema Erickb52 na Vin Diesel
Wana majungu hayo balaa
Mimi na wewe ni dam dam na nakupenda na nimekumiss sana aise
Walishazimika kama kawa, kwani ushazima nawe Kipipi?