Manji ni mmiliki wa Jengo jipya la Clouds Entertaiment?

Jengo hilo SIO la "CLOUDS_ya_DJ_KUSAGA" bali "CLOUDS_ya_DJ_KUSAGA" ni WAPANGAJI...

PERIOD

YA MWEZINI JUANI????
 
Labda ingekuwa vizuri ukatueleza kile hasa unachokiwaza kwani sidhani kama kuna ubaya wa Clouds kutumia jengo hilo huenda wamekodisha au wamefadhiliwa au kuna ubaya?

Kinachotatanisha hapa ni kwa nini jengo liitwe kwa jina la mpangaji hata kabla ya mpangaji mwenyewe hajaingia kwenye hilo jengo!
 
Wadau,si jambo la ajabu Manji kumiliki Jengo la kukodisha... Lakini ningependa tu muangalie hii kasi ya Watuhumiwa wa ufisadi kukimbilia kununua vyombo vya habari na zaidi hilo la wao Watangazaji na Web ya MichuziJr kudai wamechoka kupanga!!! mara moto!!! mara kukwama kwenye lift za kitega uchumi!!! Foleni etc!!!... na kudai tunaelekea kwenye Mjengo wetu (Yaani Mjengo wao!!!) Lazima kuna kitu hapo... Yetu masikio na macho... Nimechelewa kupost kutokana na Upgrade zilizokuwa zinaendelea...
 
Hii ni tetess...lakini kama miezi mitano iliyopita nilishawahi sisikia kwamba kati ya manji au rostam anashare clouds! haijathibitishwa lakini linasemwa...
 
Nafikiri hii story ni uongo. Nakumbuka kuona tangazo la clouds siku nyingi nyuma wakitangaza tenda ya kufanya design ya jengo lao hilo na walitoa description kuwa liko mikocheni close to.......... I mean where it is now.

Lakini swali ni what wrong even if he own it? leta hoja yenye mwelekeo sio kila umbea wa mtaani unafaa kuletwa hapa.
 
Tusker Bariiidi, vipi umefanikiwa kuwafahamisha wanajamvi kuhusu kuhamia kwenye jengo lenu jipya?
 
Joe Kusaga amesema ni la kwao na ni plans za miaka 10 nyuma.....sio kweli kuwa kuna mkono wa mtu...............wenye nyezi zaidi kama zipo na za uhakika....
 
Jengo hilo lilikuwa la Tanzania Tea Authority ...Established in 1963 as Brookebond Tanganyika Ltd, managed by London based Brookebond group of companies until when it changed ownership to Tanzania Tea Blenders Ltd run by the Government through Tanzania Tea Authority (T.T.A).

In September 2002, the Government sold it to a private company which later changed its name to TANZANIA TEA BLENDERS (2002) LTD. Hapo ndipo lilipouzwa kwa Mkulu fulani ambaye alikuja kumuuzia Manji... Tegeni sikio...

Mwenye Data zaidi Pleeese...
 
Jengo hilo lilikuwa la Tanzania Tea Authority ...Established in 1963 as Brookebond Tanganyika Ltd, managed by London based Brookebond group of companies until when it changed ownership to Tanzania Tea Blenders Ltd run by the Government through Tanzania Tea Authority (T.T.A).

In September 2002, the Government sold it to a private company which later changed its name to TANZANIA TEA BLENDERS (2002) LTD. Hapo ndipo lilipouzwa kwa Mkulu fulani ambaye alikuja kumuuzia Manji... Tegeni sikio...

Mwenye Data zaidi Pleeese...

Eheeeeeeeeee. tumeshatega masikio, tuletee hizo nyeti. Huyo Mkulu aliyeuziwa ni nani Tusker? Tunasubiri utujuze! Inaonekana ni chain fulani huwa zinaundwa ili kutudanganya
 
Jengo ni la Clouds wenyewe na wala Manji hausiki, I was involved in the early stages when Joseph Kusaga (CEO) acquired that property! Tusifikiri kila mzungu ni padri kama kule kwetu kijijini!
 
Jengo ni la Clouds wenyewe na wala Manji hausiki, I was involved in the early stages when Joseph Kusaga (CEO) acquired that property! Tusifikiri kila mzungu ni padri kama kule kwetu kijijini!

Mkuu umejoin jf for this thread specifically nini? naona join date jun 2009...aminia..kuna kitu!!
 
Back
Top Bottom