Hueleweki nani kakutaza na wewe ufanye kazi kwa bidii utajirike, au unataka utaifishaji urudi,wewe unaonekana kijana mdogo saana hukuona, tulifanya nini tulipopewa mashamba, majumba, biashara na mpaka mabucha ya nyama baada ya kutaifishwa, tizama pia yaliyotokea Uganda na Zimbambwe, hawa ni watanzania kama sisi na kizuri zaidi wanalipa kodi za serikali zinaleta maendeleo, wewe unataka utajirike ukikaa nyumbani cheza bahati nasibu.Siwi mbaguzi, lakini suala hili lazima serikali ya Magufuli iliangalie kwa umakini: Sehemu kubwa ya Utajiri wa Tanzania imeshikwa na Wahindi.
magufuli anamchukia sana Manji, sijui alimfanyia nini...manji amesaidia watu wengi sana mpaka club yetu ya Yanga
Siwi mbaguzi, lakini suala hili lazima serikali ya Magufuli iliangalie kwa umakini: Sehemu kubwa ya Utajiri wa Tanzania imeshikwa na Wahindi.
magufuli anamchukia sana Manji, sijui alimfanyia nini...manji amesaidia watu wengi sana mpaka club yetu ya Yanga
Huwa Na Washangaa Kuona Baadhi Wabongo Wakijenga Ukabila Kwa kuwalaumu Wachagga, Nyakusya Na Haya Tribe. Lakini Tangu Uhuru Hawa Watized Wenye Asili Ya Kiasia Na Kiarabu Ndio Wana Run Tized. Racist Mna Kazi Kuweza Kuona Big Picture.
Borat69 Bramo Daud1990 nashangaa kwa nini hoja nyepesi namna hii mnashindwa kuielewa. Ninaposema Manji ni mhindi simaanishi kwamba anatoka India. Kuna wajaluo Kenya na wapo wajaluo Tanzania pia, kuwa Mjaluo hakukufanyi uwe ni Mkenya au Mtanzania. Mimi ninachotaka mniambie ni kwamba Manji kakosa sifa gani ambazo nyie mnazo zinazomfanya asiwe ni mtanzania? Kama ni rangi yake na uasili wake ndiyo unawafanya nyie msimuone Mtanzania, basi huo ni Ubaguzi na hauna tofauti na MAKABURU wa Afrika Kusini waliokuwa wanambagua Mwafrika kutokana na rangi yake!
Kuna jambo linanitatiza kuhusu Manji. Kwasababu uko karibu nae naomba unisaidie ni kwanini aliutaka UMEYA wa DSM kwa grarama yoyote ile. Alikuwa ameshawaweka mfukoni UKAWA wote. Ni bahati tu CCM haikumpitisha kuwa mgombea UMEYA otherwise ilikuwa imetoka.
Nini sasa anatafuta na mahela yoooteee aliyonayo na ma hayo Ma big investment aliyonayo.
Kwanini rate za mashule ya kihindi na pango ni tofauti kwa mhindi na mswahili??
Mwisho nisaidie Kama umewahi kuhudhuria ndoa ya mhindi na mswahili.
Queen Esther
Unaweza kuniambia ni nani alikuwa anayaorodhesha hayo makabila? Unajua ni kwa nini Wajerumani na Waingereza wanaitwa wakoloni wakati Waarabu na Wareno wanaitwa wafanyabiashara? Historia ina tabia ya kuendelea kujiandika. Mwaka 1991 Tanzani ilikuwa na chama kimoja tu cha siasa, lakini baada ya mwaka 1992 bado Tanzania iliendelea kuwa na chama kimoja cha siasa? Hayo makabila yalihesabiwa mwaka gani na yalihesabiwa na nani? Hayo mambo ya kukaririshwa wengine hatuna habari nayo!!
Ahame inchi,namjua kama mpigaji na mdhulumati ukifuatilia apeech ya mengi JPM hawezi muonea ivi ivi tuu kuna rafu apo.
Maana utajiri wote alionao ukiuliza kodi alipayo sasa ndo unaweza zimia
Manji anachukiwa na kila mpenda maendeleo ya nchi hii, na kila mzalendo. Ni fisadi ameihujumu nchi kwa kufanya tenda za kihuni. Kwa nini hachukiwi bakhressa? Kwa nini hachukiwi sabodo au mengi? Ingekuwa china manji angesha..... Basi tu. Dr Magufuli doctor uliyesomea fanya kaz baba awamu hii kazi tu majungu,fitna na unafiki ulishapita
Ili swali liwe swali unajua kuwa ni lazima liwe na vigezo vyake. Kuna swali gani sijalijibu? Mimi ndiyo nimewaulizeni nyinyi mtaje vigezo vya mtu kuwa Mtanzania mpaka sasa hakuna jibu. Somji Juma katoa maelezo ya kujikanganya kuonesha kwamba kuna mtanzania na raia wa Tanzania, ambayo mimi nayashangaa sana. Hivi unaweza kuwa Raia wa Tanzania na usiwe mtanzania? Semeni basi sifa za mtu kuwa "Mtanzania" na mseme kuwa Manji hana sifa hizo!!Jibu swali acha mbwembwe
Ili swali liwe swali unajua kuwa ni lazima liwe na vigezo vyake. Kuna swali gani sijalijibu? Mimi ndiyo nimewaulizeni nyinyi mtaje vigezo vya mtu kuwa Mtanzania mpaka sasa hakuna jibu. Somji Juma katoa maelezo ya kujikanganya kuonesha kwamba kuna mtanzania na raia wa Tanzania, ambayo mimi nayashangaa sana. Hivi unaweza kuwa Raia wa Tanzania na usiwe mtanzania? Semeni basi sifa za mtu kuwa "Mtanzania" na mseme kuwa Manji hana sifa hizo!!
Acha upumabavu yule ni mhindi....watu wa Mbagala wamempa uDiwani sababu aliwapa elf 10 kila mmoja wewe unaweza kwenda INDIA ukapewa uongozi...
Ni kweli anaweza kuhama nchi ila tujue tu atahama na ajira za watu kibao ambao mpaka sasa serikali bado haijajipanga kuwapa ajira wala kuwawezesha kujiajiri.
Siungi mkono ufisadi ila nawakubusha tujadili haya mambo kwa kuangali pande zote ili watu waweze kujipanga.
Mpeni Tu!! Sio Nchi Yetu, Hatuhitaji Huo UTAJIRI Wake Ndani Ya SERIKALI YETU!!! Mr President Sio Anamchukia, Bali Yeye Anawafahamu Hao Ni WAPIGA DILI Tu!!! Hivi Huo UZALENDO Kwa TANZANIA YETU Hii Ni Wa UKWELI Au KUTAFUTA Fursa Tu!!! Maana Tuliona Wkt Wa Tender Ya KUTENGENEZA Yale Matera Ya Kusombea TAKA Manispaa Ya K/ndoni!! Yalitengenezwa Chini Viwango Ambavyo Walivyokuwa WAMEKUBALIANA!!! Hali ILIYOPELEKEA Madiwani Kuyagomea, Lkn Cha Kushangaza Baadae Baadhi Yao Waligeuka Na Kuyapitisha!! Ndio Yale Yenye Kuvutwa Na Matrekta Kule K/ ndoni, Rangi Ya Manjano Mpauko!!!! Watengenezaji Ni Quality Gerage!!! Haya Mara Coco Beach, Magomeni Kota N.k. ALAFU Eti RAIS Anamchukia!! Kama RAIS Anamchukia Kwa Yeye KUTAKA KUPIGA DILI, Na WATANZANIA Tunamchukia Pia!!!!