Ngoja niwe muwazi tu kwa kuwa msema kweli ni mpenzi wa Mungu,na kwa kweli nikisema kweli nitaitendea haki roho yangu.Nawashangaa sana Watanzania wanaowapa Wahindi au Waarabu uongozi wa aina yeyote,iwe uenyekiti wa Yanga au hata ubunge na udiwani.Kwani waswahili wenzetu hatuwaoni.Hivi mantiki hasa ni nini,kwamba watakatiwa vipesa kidogo au nini.Hawa watu kwanza ni wabaguzi na wana dharau sana.Hivi waswahihili hatujifunzi kutokana na ushahidi mdogo mdogo tu.Waarabu au Wahindi wangapi wameolewa na Waswahili.Hivi unaweza ukapewa ubunge au uongozi wowote India au Saudia kweli.Tutawaaminije hawa kiasi hicho mpaka tuwape dhamana ya kutuongoza?Sio mbaguzi,lakini siwaamini kihivyo.Kwanza hawa jamaa wanatafuta uongozi ili waweze kufanikisha uovu wao wa kibiashara na maslahi yao binafsi.Nia yao hasa sio kutusaidia katika maendeleo yetu.Ni lazima tuamke.
Baada ya kuyaweka hayo bayana sasa nimzungumzie Manji binafsi.Manji alitaka watanzania wamdhamini au wampende kwa lipi hasa.Kwa kushirikiana na viongozi wasio waadilifu kutuibia?Nani asiyemjua Manji,labda zezeta.Nirudie tena,nawashangaa hata hao waliomchagua kuwa diwani.