Swagger is alive
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 559
- 467
Zitto alinifurahisha Sana aliposema mtu ametoka na karatasi ya kufungia vitumbua na kuanza kutaja majina!Omba tu mungu hao akina manji wasitake kumshtaki huyo makonda, utakuja kumuonea huruma. Umeona wapi vita vya madawa unayasoma majina kama matokeo ya mtihani?