Manji na Gwajima wamelala mahabusu ipi?

Manji na Gwajima wamelala mahabusu ipi?

Jana baada ya mwenyekiti wa club ya Yanga na mfanyabiashara mkubwa Yusuph Manji, na mchungaji Gwajima kuwasili polisi central, tulishuhudia badae wakiondolewa kituoni kwa gari nyeupe. Leo mchana kamanda Siro ametoa taarifa kuwa bado wanashikiliwa kwa mahojiano. Binafsi sijaelewa imekuwaje hawa wakapelekwa mahabusu kimya kimya? Na wapo mahabusu ipi?
Ile mahabusi iliokua inaitwa Novetel Baadae ikawa serena kwa sasa
 
Iwe mahabusu au la lakini usiku wa jana walikuwa chini ya ulinzi tena mbali na wake zao.
Wale vijana wetu walibebwa ktk difenda, akina Manji na Gwajima walibebwa kkt Land Cruiser, unadhani ni kwanini?

Kwa Tanzania tusijidanganye kuwa eti sote tupo chini ya sheria.
 
Sijawahi ona mtuhumiwa anapewa kiti akae na kukunja nne,Jana Manji walimpa kiti akae. Halafu badae wanakuja kutwambia wamemlaza mahabusu .
Ile picha aliyokaa kwenye kiti cyo ya Jana,ilikuwa ktk mechi ya yanga..ukiangalia ktk ile picha amevaa suti ya dark blue wakati Jana kavaa nyeusi,pia hiyo picha aliyokaa inaonekana shingoni amevaa kamba ya kitambulisho wakati Jana wakati anaingia polisi wala hakuwa na hiyo kamba shingoni.
Sijawahi ona mtuhumiwa anapewa kiti akae na kukunja nne,Jana Manji walimpa kiti akae. Halafu badae wanakuja kutwambia wamemlaza mahabusu .
 
Jana baada ya mwenyekiti wa club ya Yanga na mfanyabiashara mkubwa Yusuph Manji, na mchungaji Gwajima kuwasili polisi central, tulishuhudia badae wakiondolewa kituoni kwa gari nyeupe. Leo mchana kamanda Siro ametoa taarifa kuwa bado wanashikiliwa kwa mahojiano. Binafsi sijaelewa imekuwaje hawa wakapelekwa mahabusu kimya kimya? Na wapo mahabusu ipi?
Tuwasubirie watatueleza sana sana Gwajima lazma aseme
 
Wale vijana wetu walibebwa ktk difenda, akina Manji na Gwajima walibebwa kkt Land Cruiser, unadhani ni kwanini?

Kwa Tanzania tusijidanganye kuwa eti sote tupo chini ya sheria.
Hawa walikuwa wawili tu na alikosekana mheshimiwa Mbowe tu pale, wale vijana wenu walikuwa wengi, waliingizwa kwenye defender tena nyuma kule mnasimama na kushika bomba.
 
Sijawahi ona mtuhumiwa anapewa kiti akae na kukunja nne,Jana Manji walimpa kiti akae. Halafu badae wanakuja kutwambia wamemlaza mahabusu .
Ajabu sanaa
tapatalk_1486723399159.jpeg
 
Hata Mimi ninashangaaa, kuna sitofahamu.
Kumbuka, akina TID na wenzake walitolewa central police kwa defender hawa watu wawili walibebwa na Land cruiser (Shangingi) tena wakiwa na wana sheria wao.
Walilala mahabusu ipi?? Gwajima atajibu ibada ya jumapili
Kwani leo wamemuachia maaana nasikiaga ukilala ndani ijumaa ni mpaka j3.
 
Back
Top Bottom