Manji na Gwajima wamelala mahabusu ipi?

Manji na Gwajima wamelala mahabusu ipi?

msweety

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2014
Posts
670
Reaction score
1,563
Jana baada ya mwenyekiti wa club ya Yanga na mfanyabiashara mkubwa Yusuph Manji, na mchungaji Gwajima kuwasili polisi central, tulishuhudia badae wakiondolewa kituoni kwa gari nyeupe. Leo mchana kamanda Siro ametoa taarifa kuwa bado wanashikiliwa kwa mahojiano. Binafsi sijaelewa imekuwaje hawa wakapelekwa mahabusu kimya kimya? Na wapo mahabusu ipi?
 
Hata Mimi ninashangaaa, kuna sitofahamu.
Kumbuka, akina TID na wenzake walitolewa central police kwa defender hawa watu wawili walibebwa na Land cruiser (Shangingi) tena wakiwa na wana sheria wao.
Walilala mahabusu ipi?? Gwajima atajibu ibada ya jumapili
 
Hata Mimi ninashangaaa, kuna sitofahamu.
Kumbuka, akina TID na wenzake walitolewa central police kwa defender hawa watu wawili walibebwa na Land cruiser (Shangingi) tena wakiwa na wana sheria wao.
Walilala mahabusu ipi?? Gwajima atajibu ibada ya jumapili
Mkuu kwani vidole vya mkono wako vinalingana?
 
Hata Mimi ninashangaaa, kuna sitofahamu.
Kumbuka, akina TID na wenzake walitolewa central police kwa defender hawa watu wawili walibebwa na Land cruiser (Shangingi) tena wakiwa na wana sheria wao.
Walilala mahabusu ipi?? Gwajima atajibu ibada ya jumapili
Bado unaamini binadamu wote ni sawa?
 
Mara hawa hapa, wale kule, hao hapo ( In Ara Chuga Slang)
 


Halafu naona huyu bi dada anafanania na Zari sijui ni ndugu
 
Back
Top Bottom